Saddam Hussein, C.I.A & Italian Intelligence Service: Tuhuma za wizi wa Uranium Powder (Yellowcake) kutoka migodi ya kampuni za Ufaransa nchini Niger!

Kule kwa Bold akitoa story haiishi mara moja pia anachelewa kutoa ufafanuzi mwisho wana jf wanaishia kugombana
Okay sawa mkuu. Ila The Bold ninamkubali sana namna anavyopangilia story zake. The guy is so talented. Yeye kuchelewa kujibu labda ni kutokana na wingi wa majukumu ya kazi zingine pamoja na familia. But all in all, I love his stories.
 
Okay sawa mkuu. Ila The Bold ninamkubali sana namna anavyopangilia story zake. The guy is so talented. Yeye kuchelewa kujibu labda ni kutokana na wingi wa majukumu ya kazi zingine pamoja na familia. But all in all, I love his stories.
Dr Magufuli ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Magufuli ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
 
Hahaha hizo hasira watazionyesha kwa lissu kutokana na kusaliti Nchi yetu.
 
Utakuwaje mzalendo kwenye nchi ambayo haitendei Haki Wananchi wake,hakuna uhuru wa kuchagua wanaemtaka..

Tanzania chini ya utawala wa CCM ni janga kwa Taifa..

Sheria tunazipanga Wenyewe,tunazipinga Wenyewe

Watawala wanaanza kuuwa ikiwa sheria haziwabebi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…