Duhh!!![emoji16][emoji16]Ishu ni kuwa Ahmed chalabi alikua ni double agent,working for CIA,,lakini kiuhalisia alikuwa ni Ofisa kipenyo wa iran,
Idara ya kijasusi ya iran ndo ilighushi hizo nyaraka za Niger ,kisha chalabi alioewa ili akawa feed false information wamarekani ili wamvamia saddam husein,
Mwishoni marekani waligundua kuwa walichezewa shere na iran,wakamuua Ahmed chalabi
Saaana mkuu
Noma sana mkuu. Humu JF kuna watu wanazijua sana siasa za kimataifa.Duhh!!![emoji16][emoji16]
Naam Hadi raha yaaniNoma sana mkuu. Humu JF kuna watu wanazijua sana siasa za kimataifa.
Sawa babaKiongoz tunasubilia muendelezo
So long as the CIA is made up of humans, margins of error are always there.Kwa hiyo taasisi kubwa kama CIA inaweza fanya maamuzi mabovu kama zetu tu.
Majukumu yamenizidi ndugu yanguKiongoz tunasubilia muendelezo
Pole sana napenda makala zako nitazipata wapi zote please kama una website au sehem yoyote tunapoweza kuzipata plz tuambieMajukumu yamenizidi ndugu yangu
Ninaandaa blog yangu soon nitaziweka humo kisha nitawapa linkPole sana napenda makala zako nitazipata wapi zote please kama una website au sehem yoyote tunapoweza kuzipata plz tuambie
Kwa hiyo taasisi kubwa kama CIA inaweza fanya maamuzi mabovu kama zetu tu.Usually ni kama hawana interests labda ila wapo makini sana Hawa jamaaKwa hiyo taasisi kubwa kama CIA inaweza fanya maamuzi mabovu kama zetu tu.
mhhhUsually ni kama hawana interests labda ila wapo makini sana Hawa jamaa
😁 Vp mkuu huamin kama jamaa wakitaka Chao lazima wakipate tumhhh
kuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga meno.Tunapendekeza Rais ajaye awe na haiba kama za mama Samia ili aendeleze ukuaji wa uchumi wa kati.