Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa watu kumsifia kisa kwenda kijijini kwao.Ukiwa na heka hata ukinya barabarani utasifiwa kuwa umejali afya. Lkn maskini hata afanye jambi la heri hutafsiriwa vibaya
Wewe mwenye management yenye maono upo wapi?Kwa yeye kucheza viwanja vyenye matope na mabonde si jambo la uzalendo ila ni ujinga wa kiwango Cha lami na kukosa menegment yenye maono.
Wabongo kwa kujifanya wajuaji bna,MshindiWewe mwenye management yenye maono upo wapi?
Hata kwenye career yako nani anakujua hapa Duniani?
Management ione nini tena? Imfikishe wapi tena?
As a footballer ashashinda kila kitu ( vilivyo ndani ya uwezo wake)......
Kwa sasa Hana anachodaiwa zaidi ya kufurahia kipaji chake na kuvuna pesa.
Kama ni sehemu ya vitu anavyoenjoy aachwe afanye.....mradi havunji sheria na mikataba yake.........
Tuache ujuaji usio wa msingi.