dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Tena kamnaza ktk kipind hiki Cha mwezi wa ramadhani[emoji599] Bayern have suspended Sadio Mané after his fight with Leroy Sané after Man City game when he punched Sané in his face after having an argument during the match.
Bayern announce that Mané will not be in the squad against Hoffenheim. In addition, the Senegalese will be fined. https://t.co/3ZL3aKbWx5
Je ni bora angebaki Liverpool?
Hambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waafrica mnapenda kuonewa huruma, eti kijana mpole, sijui hambo, hambo ya nyoko. Kwani mmewahi kuishi na mane nyie.
Mnapenda kubaguliwa, huyo dogo kamtwanga mwenzie makonde, lazima aadhibiwe.
Leroy Sane pia hanaga time na mtu.Ujerumani wana ubaguzi wa kisenge sana. Mane ni kijana mpole na huu ni mwezi mtukufu. Man City chukueni chuma hicho
Alikula ya mbavu yenye mafuta kidogo.Mbna huwa wanasema Ni ustadhi ,shekh mzuri sna kwamba kila alfajiri huamka na kwenda kufagia misikiti zote mjini munichi[emoji3]
Nini kilimpata musilamu huyu Hadi kumnaza Kofi chezaji mwezake
Na hiyo ndio asili ya mwafrika halisi mazoea sawa lakini yasizidi,,, Mazoea yakizidi ni hatari haswa kwa pande zote mbili zenye mazoea hayo!!wenzetu wazungu wameshazoeshana mazoea ya kisengesenge tuu na dharau sasa kwa mwafrika halisi lazima kuna wakati,,inabidi tuu uwashikishe adabu waelewe kuna wakati mambo lazima yaende tuu hata kwa kutandikana makofi na ngumi pia!!!Bravoo S..💴💴💴!!!(Kibunda)
Inatakiwa namba 11 ivunjwe mane aingie Kati au apelekwe pembeni...mane ashazoea kukimbiza halafu anaingia ndani akimfata beki...Sasa hapo mbio nyingi anapiga Davies..halafu mpira wa ujerumani utamkimbiza nani....atatoka tu hapo labda mfumo ubadilishwe kwa ajili yake...Sasa ashakosana na Sane...sane ndo mwamuzi wa mechi ngumu kwa Bayern sijui mabosi watamchukuliaje Mane baada ya hii saga kuisha....Mimi nadhani tatizo litakuwa kwa makocha wa Bayern wanashindwa kutengeneza mfumo wa kuendana naye. Kwa maana hata akiwa Liverpool Robertson alikuwa anapanda sana upande wa kushoto japo nikiri kuwa si kwa kiwango cha Alphonso Davies.
Au man uMane aondoke zake arudi England....atafute Man city au aende Arsenal
Apambane .....ulaya kote ubaguzi tu German ubaguzi zaidi ....amalizie miaka yake 5 maana ana 31 sasa.....Au man u
Waafrika tukiadhibiwa kwa ajili ya makosa yetu, huwa tunakimbilia kujificha kwenye kichaka cha ubaguzi wa rangi.Apambane .....ulaya kote ubaguzi tu German ubaguzi zaidi ....amalizie miaka yake 5 maana ana 31 sasa.....
Shida sio weupe ama weusi , pep hapendi wa africa ndio maana hata prime etoo alimkataa, prime yaya toure alimkataa. Huwa anatazama mweusi anacheza timu ya taifa ya nchi gani ?
AKANJI ANATOKA USWISS, USWISS SIO AFRICA
Abidal mweupe?
Fabian delph mweupe?
Alaba mweupe?
Sterling mweupe?
Benjamin mendy mweupe?
Eliaquim Mangala mweupe?
Fernandinho mweupe?
Waafrika tuna mentality za kibaguzi asee.
Mwishoni umeweka neno wa Africa.
Hao wote uliowataja juu hakuna Mwafrica hata mmoja ?
Ukitazama passports zao huwezi kuta nchi za ki africa.
Makocha wanawakataa weusi wa africa kwa sababu ya ratiba ya afcon na pia wana tabia za kiswahili.
Mane ni anatoka cameroon. Pep hawezi mkubali maana afcon na ligi za ulaya na uefa zinachezwa muda sawa
Kwenye hoja yangu nimeweka sababu mbili ambazo ni Afcon na tabia za uswahili zetu waafrica tuliozaliwa na tuliokulia africa.
Mane factor zote mbili zinamuingia.
Mahrez factor moja tu inamuingia ya afcon. Factor ya pili haimuingii ndio maana pep kamchukua
Mahrez sio mswahili. Mahrez kazaliwa ulaya ufaransa. Kakulia ulaya.
Algeria ameiwakilisha sababu ni nchi yake ya asili tu. Hivyo hana tabia za kiswahili.
Nitajie mchezaji gani pep guardiola amewai msajili ambaye anaingia kwenye factor zote mbili ambazo ni
1. Kwenda afcon kuwakilisha nchi yake
2. Kuzaliwa na kukulia africa.
Mane hana wakati mzuri Bayern...
Upande anaocheza yupo Davies. Davies anacheza upande wote ule. Mane anakuwa hawezi kuonesha makali yake koz kazi kubwa anafanya Davies ktk ule upande. Labda kocha aamue kuswitch namba ampeleke upande wa kulia angalau anaweza kuonekana...ila upande wa kushoto hawezi kung'aa kamwe...