Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Msenegal SADIO MANE aachana na B.MUNICH waliokuwa wakimlipa zaidi ya milioni mia saba kwa wiki na kutua kwa wazee wa kugawa Minoti Al NASSR ambako ataanza kukunja kitita cha shilingi bilioni mbili kwa wiki ambayo ni sawa na shilingi bilioni nane kwa mwezi na kwa mwaka itakuwa zaidi ya B.90 kwa hakika mpira unalipa sana.
Kiasi hicho ukikigawa kwa siku ni zaidi ya shilingi milioni mia mbili, fedha ambayo inasimamisha Kituo cha Afya kule kijijini kwetu.
Na kiasi hicho hicho cha siku kinaweza kuwalipa kiinua mgongo wazee zaidi ya watano baada ya KIKOKOTOO waliolitumikia Taifa kwa zaidi ya miaka Thelathini na Tano.
Hakika Soka linalipa ndugu zangu msiviue Vipaji vya watoto huko mtaani waambieni soka ni maisha.
Kiasi hicho ukikigawa kwa siku ni zaidi ya shilingi milioni mia mbili, fedha ambayo inasimamisha Kituo cha Afya kule kijijini kwetu.
Na kiasi hicho hicho cha siku kinaweza kuwalipa kiinua mgongo wazee zaidi ya watano baada ya KIKOKOTOO waliolitumikia Taifa kwa zaidi ya miaka Thelathini na Tano.
Hakika Soka linalipa ndugu zangu msiviue Vipaji vya watoto huko mtaani waambieni soka ni maisha.