Sadio Mane kuwakamua Al Nassr bilioni mbili kwa wiki

Sadio Mane kuwakamua Al Nassr bilioni mbili kwa wiki

Msenegal SADIO MANE aachana na B.MUNICH waliokuwa wakimlipa zaidi ya milioni mia saba kwa wiki na kutua kwa wazee wa kugawa Minoti Al NASSR ambako ataanza kukunja kitita cha shilingi bilioni mbili kwa wiki ambayo ni sawa na shilingi bilioni nane kwa mwezi na kwa mwaka itakuwa zaidi ya B.90 kwa hakika mpira unalipa sana.

Kiasi hicho ukikigawa kwa siku ni zaidi ya shilingi milioni mia mbili, fedha ambayo inasimamisha Kituo cha Afya kule kijijini kwetu.

Na kiasi hicho hicho cha siku kinaweza kuwalipa kiinua mgongo wazee zaidi ya watano baada ya KIKOKOTOO waliolitumikia Taifa kwa zaidi ya miaka Thelathini na Tano.

Hakika Soka linalipa ndugu zangu msiviue Vipaji vya watoto huko mtaani waambieni soka ni maisha.
Kipaji kilichotunzwa, kuendelezwa na kufanyiwa kazi vizuri kinalipa mnoooooooo........
 
Unataka afanye nini zaidi????

Kashinda Europa cup
Kashinda UEFa champions League
Kashinda mchezaji Bora Africa
Kashinda AFCON
Kashinda EPL
Kawa mfungaji Bora EPL
Kashinda bundasliga
N.k n.k

Huu ni muda wa kuvuta mapene angalia umri wake.. Angalia project zake Kule Senegal, jamaa ambition yake kubwa ni kuisaidia jamii kutoka kwenye umasikini uliokithiri so hakuna anahitaji zaidi ya pesa..
MANE IS NOW MONEY [emoji383]

TRUE LEGEND [emoji106]
In short mane ni kama Lionel messi kwa Africa yaani kwenye mpira kamaliza.....unaweza kuniuliza labda
hana WC
hana individual awards kama balloon d or na golden boot za ulaya na uefa

ila still nitakujibu kwa mafanikio hayo tena ngozi nyeusi kama Mimi, mane kamaliza hongera sana kwake
 
Msenegal SADIO MANE aachana na B.MUNICH waliokuwa wakimlipa zaidi ya milioni mia saba kwa wiki na kutua kwa wazee wa kugawa Minoti Al NASSR ambako ataanza kukunja kitita cha shilingi bilioni mbili kwa wiki ambayo ni sawa na shilingi bilioni nane kwa mwezi na kwa mwaka itakuwa zaidi ya B.90 kwa hakika mpira unalipa sana.

Kiasi hicho ukikigawa kwa siku ni zaidi ya shilingi milioni mia mbili, fedha ambayo inasimamisha Kituo cha Afya kule kijijini kwetu.

Na kiasi hicho hicho cha siku kinaweza kuwalipa kiinua mgongo wazee zaidi ya watano baada ya KIKOKOTOO waliolitumikia Taifa kwa zaidi ya miaka Thelathini na Tano.

Hakika Soka linalipa ndugu zangu msiviue Vipaji vya watoto huko mtaani waambieni soka ni maisha.
Utajiri wote wa Diamond ni bilioni 23!
Huyu mwamba ndani ya miezi 4,anautajiri wote wa Mond!!!
 
Msenegal SADIO MANE aachana na B.MUNICH waliokuwa wakimlipa zaidi ya milioni mia saba kwa wiki na kutua kwa wazee wa kugawa Minoti Al NASSR ambako ataanza kukunja kitita cha shilingi bilioni mbili kwa wiki ambayo ni sawa na shilingi bilioni nane kwa mwezi na kwa mwaka itakuwa zaidi ya B.90 kwa hakika mpira unalipa sana.

Kiasi hicho ukikigawa kwa siku ni zaidi ya shilingi milioni mia mbili, fedha ambayo inasimamisha Kituo cha Afya kule kijijini kwetu.

Na kiasi hicho hicho cha siku kinaweza kuwalipa kiinua mgongo wazee zaidi ya watano baada ya KIKOKOTOO waliolitumikia Taifa kwa zaidi ya miaka Thelathini na Tano.

Hakika Soka linalipa ndugu zangu msiviue Vipaji vya watoto huko mtaani waambieni soka ni maisha.
Anawakamua vipesa kidogo tu hivyo??? Au hujui neno kukamuliwa
 
Ndo wamewasha moto hivyo. EPL sijui La Liga zijipange saw sawa, wakizubaa Arab Leagues zinapindua meza, halafu EPL na wenzake zinabaki kuwa 'The Sleeping giants'.
Nyota wangapi wameenda ligi ya marekani je wameipiku epl
Yaani ligi ya wastaafu ichuane na ligi kama ya epl
 
Back
Top Bottom