Sadio Mane Mchezaji Bora CAF 2022

Senegal imefunika usiku wa tuzo....wapo vizuri sana
 
Baada ya kukosa chochote msimu huu
Hatimae [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo ya Kwa mkapa hayo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka ukiwa kigamboni sehemu gan??
Avic town uko room ipi? Tuwaletee Tuzo muishike angalau

Na nyie mtoe gundu la 0.5.

Byuti byuti.

Weraaaaaaaah.
 
Mchezaji bora chipukizi kwa wanawake ni Senegal mkuu huyo Evelyn Badu ila Senegal wametisha sana wana golden generation
 
Mchezaji bora chipukizi kwa wanawake ni Senegal mkuu huyo Evelyn Badu ila Senegal wametisha sana wana golden generation
Si ndicho nilichoandika mimi, halafu soma tena ulichokiandika mzee
 
What a goal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…