Sadney: Yanga ina focus kwenye Social Media na fake branding badala ya kufanya vitu vya maana

Sadney: Yanga ina focus kwenye Social Media na fake branding badala ya kufanya vitu vya maana

Wachezaji wote walipwe mishahara yao, ni haki yao hiyo
 
Kabisa umenena vema..!
Tulipe mishahara kwanza alafu tunaze kulaumu wachezaji, Mimi ni shabiki wa Yanga lkn ukweli tuambizane mpira wa wa dunia ya leo bila hela tuta onana wabaya tu mtu hawezi toka kwao huko aje acheze bila hela una tegemea anatunza vp familia yake
 
Hapa majirani inabidi warudi kwenye bakuli sio mbaya kuanza moja!!
 
Yanga inaharibiw na wakina mkwasa na mfano wa mkwasa. Kila MTU anatak ukubwa na manufaa yake na umaarufu kupitia yanga. Na hata kuondka kW zahera ndio haohao chanz kutaka Tim iwe chini yao wakat mkwanja hamna
Mshambuaji Sadney Urikhob ambaye anadaiwa kuikacha timu ya Yanga kwa kuandika barua ya kuvunja mkataba wake kwa kile kinachodaiwa kutolipwa mshahara wake kwa miezi mitatu, amemtolea uvivu mshabiki wa Yanga aliyesema. "Tumefurahi kwa maamuzi yako kwasababu hukufanya kitu"

Baada ya comment hiyo ya mshabiki wa Yanga, mshambuliaji Sadney Urikhob, ambaye kwa sasa inaelezwa yuko kwao nchini Namibia, akamjibu kupitia ukurasa wake wa Instagram.

"Wewe na klabu yako ina focus kwenye social media na fake branding badala ya kufanya vitu vya maana, mimi sio mtumwa na sitakuja kuwa".View attachment 1287213View attachment 1287214
 
Tulipe mishahara kwanza alafu tunaze kulaumu wachezaji, Mimi ni shabiki wa Yanga lkn ukweli tuambizane mpira wa wa dunia ya leo bila hela tuta onana wabaya tu mtu hawezi toka kwao huko aje acheze bila hela una tegemea anatunza vp familia yake
Umechangia timu lakini?
 
huyu Sydney hakuna alichokuwa anafanya Yanga, alikuwa anatafuta mtaji wa biashara, kashapata akafanye biashara sasa mpira hauwezi
 
Kwani yatokea na kusambaa hutaki kuamini

Na Zahera katoa wiki moja, asipolipwa chake anapanda juu..[emoji23]
Juu ya Mnazi Au.
Ile kampuni ya Yanga Yangu iliishiaga wapi ?
[emoji102][emoji102][emoji102]
 
Kwanini Yanga hawasajiri wa hapahapa kutokana na uwezo wao wa kuwalipa ?
Nimeshangaa Hadi Kipa Rostand anawadai Yanga milioni 60.
Hadi Chirwa, Ngoma, Dante, Rwandamila, Zahera hawajalipwa Hadi Leo.
Hii Ni hatariZ
Sajirini tu wa Humuhumu msiwaige Wanasimba, mutakufa bure.
 
tatizo la washabiki wa yanga badala ya kuwabana viongozi wao wawalipe mishahara wachezaji wao wanalumbana na wachezaji wanaodai haki zao hivi wanategemea viongozi wao watajirekebisha au wachezaji wataendelea kuwa na moyo au mpaka wachezaji waitishe mgomo kabla ya mechi na simba halafu mkifungwa goli nyingi mdai kuwa Simba walinunua mechi maana hizo ndio zenu
Yanga ina wapumbavu wengi by Dk Msola
 
Nafarijika kuona wachezaji vimeo wa kocha kimeo mwinyi zahera wakimfuata bwana wao. Wakati mwingine nina imani viongozi hawatakubali kumuachia mtu mmoja tu awe na final decision kwenye timu.
 
Back
Top Bottom