Saeb Erakat wa Palestina afariki dunia

Saeb Erakat wa Palestina afariki dunia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mtumishi wa muda mrefu wa wananchi wa Palestina bw Saeb Erakat amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 65.
Marehemu Erakat alikuwa mtu wa karibu wa kiongozi mwasisi wa PLO na ameendelea kuwa chini ya rais Mahamud Abbas tangu pale alipomrithi Yasser Arafat.
Katika umri wa utumishi wake ameshiriki mikutano mingi ya kimataifa ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa ardhi ya taifa lake na mpaka anafariki hakufanikiwa kuona mafanikio huyo.

1605005665438.png
انا للاه وانا اليه راجعون​
 
Israel, he[Saeb Erekat] pointed out, boasted a huge military and backing from Western powers. The Palestinians, meanwhile, had few resources and almost no leverage. As their representative, he called himself the most disadvantaged negotiator since Adam negotiated Eve.
 
Mchango wako kwa watu weupe ni nini?
Nalipa kodi kwenye taifa lao, huyo mwarabu wenu wa Palestina ana mchango gani kwa watu weusi hadi tumtambue?

Fidel Castro aliliwa na Africa na waafrica kwa ujumla kwa sababu ana mchango kwetu, JFK aliliwa kwa sababuana mchango Africa, Xi jinping akifariki Africa itamlilia, Narendra Modi ana mchango kwa Africa huyo kiongozi wa kiarabu kafanya nini
 
Waafrika mnapenda kusaidiwa sana... kwani yeye mwafrika mpaka atoe mchango kwetu.
Huo ni uelewa finyu.

Mchango wa Xi Jinping Africa sio kuikopesha tu Africa bali kuifungua kiakili kwa kuwaonyesha wakandarasi wa viwango vya juu kwa gharama ndogo kutoka taifani kwake.

Mchango wa Ben Netanyahau ni katika intelijensia ya unakoishi, mchango si lazima upatiwe fedha inaweza kuwa connection tu.
Haya huyo mpalestina mchango wake kwa mtu mweusi ni nini hadi tumtambue sisi na kuandika R.I.P?

Nasubiri
 
..Dah!!

..Alikuwa kati ya wasuluhishi mahiri wa mgogoro wa Palestina na Israel.

..Mjenga hoja mzuri sana, na alikuwa hachoshi kumsikiliza.

..May GOD rest his soul in eternal peace.
Amiin
 
Nalipa kodi kwenye taifa lao, huyo mwarabu wenu wa Palestina ana mchango gani kwa watu weusi hadi tumtambue?

Fidel Castro aliliwa na Africa na waafrica kwa ujumla kwa sababu ana mchango kwetu, JFK aliliwa kwa sababuana mchango Africa, Xi jinping akifariki Africa itamlilia, Narendra Modi ana mchango kwa Africa huyo kiongozi wa kiarabu kafanya nini

..binafsi namtambua Saeb Erekat kwa mchango wake kwa taifa lake la Palestina.

..unapomsifia na kumkubali mtu / kiongozi fulani siyo lazima awe amechangia kwa taifa lako.

..kwa mfano, siyo makosa kwa Wapalestina kutambua mchango wa Raisi Mwinyi/Mkapa/Kikwete au Magufuli kwa Tanzania.

..Naamini ni ktk muktadha huo ndio maana baadhi ya wachangiaji wameguswa na kifo cha Dr.Saeb Erekat.
 
Nalipa kodi kwenye taifa lao, huyo mwarabu wenu wa Palestina ana mchango gani kwa watu weusi hadi tumtambue?

Fidel Castro aliliwa na Africa na waafrica kwa ujumla kwa sababu ana mchango kwetu, JFK aliliwa kwa sababuana mchango Africa, Xi jinping akifariki Africa itamlilia, Narendra Modi ana mchango kwa Africa huyo kiongozi wa kiarabu kafanya nini
Nadhani kichwani mwake hakuwa na fikra za kibaguzi wa rangi.Tatizo lao zaidi ilikuwa baina yao na Israel iliyopora ardhi yao.Hivy ukitaka kumpima kwa kigezo hicho hutopata kitu.Pamoja na hivyo Palestina ilikuwa na uhusiano mzuri na mataifa mengi ya kiafrika amabayo yana watu weusi.Mzee Mandela alikuwa moja ya kipenzi chao kutokana na ushujaa wake wa kuwatetea wao wapalestina.Palestina ina uwakilishi nchini Tanzania ambako wapo watu weusi wengi na Saeb Erakat kila siku akifurahia kupata ushirikiano na Tanzania ijapokuwa Tanzania yenyewe baadae iliwasaliti wapalestina kwa kukubali ushirikiano na Israel mpaka kuruhusu kufungua ubalozi wao.Hivyo inaweza kusemwa baadhi ya watu weusi waliwasaliti wapalestina lakini wao bado hawajachoka kushirikiano nao.
 
Israel, he[Saeb Erekat] pointed out, boasted a huge military and backing from Western powers. The Palestinians, meanwhile, had few resources and almost no leverage. As their representative, he called himself the most disadvantaged negotiator since Adam negotiated Eve.
Huyu Mzee amewapigania sana raia wenzake wa Palestina kwenye meza ya kidiplomasia japo hakufanikiwa.

..RIP Erekat.
 
Nalipa kodi kwenye taifa lao, huyo mwarabu wenu wa Palestina ana mchango gani kwa watu weusi hadi tumtambue?

Fidel Castro aliliwa na Africa na waafrica kwa ujumla kwa sababu ana mchango kwetu, JFK aliliwa kwa sababuana mchango Africa, Xi jinping akifariki Africa itamlilia, Narendra Modi ana mchango kwa Africa huyo kiongozi wa kiarabu kafanya nini
Umejipeleka mwenyewe kwenye taifa lao lazima ulipe Kodi maana unapata huduma.
Hatuhitaji kusaidiwa tunajiweza
 
Umejipeleka mwenyewe kwenye taifa lao lazima ulipe Kodi maana unapata huduma.
Hatuhitaji kusaidiwa tunajiweza
Vipi kuhusu huyu mpalestina anastahili chochote kutoka kwa mtu mweusi?
 
Nadhani kichwani mwake hakuwa na fikra za kibaguzi wa rangi.Tatizo lao zaidi ilikuwa baina yao na Israel iliyopora ardhi yao.Hivy ukitaka kumpima kwa kigezo hicho hutopata kitu.Pamoja na hivyo Palestina ilikuwa na uhusiano mzuri na mataifa mengi ya kiafrika amabayo yana watu weusi.Mzee Mandela alikuwa moja ya kipenzi chao kutokana na ushujaa wake wa kuwatetea wao wapalestina.Palestina ina uwakilishi nchini Tanzania ambako wapo watu weusi wengi na Saeb Erakat kila siku akifurahia kupata ushirikiano na Tanzania ijapokuwa Tanzania yenyewe baadae iliwasaliti wapalestina kwa kukubali ushirikiano na Israel mpaka kuruhusu kufungua ubalozi wao.Hivyo inaweza kusemwa baadhi ya watu weusi waliwasaliti wapalestina lakini wao bado hawajachoka kushirikiano nao.
Buda acha story ambazo hadi utapotea humu ulimwenguni kwa maana utakapo kufa hutoona hayo uyatakayo yakitendeka.

Nionyeshe kwa maandishi au kwa picha Saeb akifanya jambo kuhusu mtu mweusi au Africa.
We all know alikuwa mpiganaji wa nchi yake sasa sisi inatuhusu nini kikawaida au kisa imani yenu inasema muislamu nduguye muislamu?
 
..binafsi namtambua Saeb Erekat kwa mchango wake kwa taifa lake la Palestina.

..unapomsifia na kumkubali mtu / kiongozi fulani siyo lazima awe amechangia kwa taifa lako.

..kwa mfano, siyo makosa kwa Wapalestina kutambua mchango wa Raisi Mwinyi/Mkapa/Kikwete au Magufuli kwa Tanzania.

..Naamini ni ktk muktadha huo ndio maana baadhi ya wachangiaji wameguswa na kifo cha Dr.Saeb Erekat.
Wapalestina ni wabaguzi sana wao hujali ya kwao tu na kujiona wanatendewa uovu wao hawatendi.

Mathalani huyo Saeb kazaliwa hadi kafa anapambania yanayoihusu Palestina na dini yake kwa ujumla what about watoto wanaokufa Africa au South Asia huko kwa sababu mbalimbali?

What about madhira ya South America?
Mandela hakuipambania Afrika ya Kusini tu mataifa mengi kayasemea ya ndani ya Africa na nje ya Africa bila kujali ni whites walewale walioko kwenye ardhi yake.

Hao jamaa me nawaangalia kwa jicho ovu sana 😒
 
Back
Top Bottom