Big Up Kubenea. Receive my hi10. Tena fanya haraka, leta utamu na midundo ya mafisadiz. Kufungia gazeti si kufungia taaluma yako ya uandishi.
Waziri mchemfu huyo. Ati Gazeti la Mwanahalisi limefungiwa kwa miezi mitatu!!!! Kwani miezi mitatu mbali??? Mbona Tume ya Kuchunguza mafisadi walichukua miezi almost nane na hawakuja na issue???? Na bado tukauona muda huo mfupi wa kusubiri kitu kumbe mbofu tu. Miezi mitatu isikutishe bro. Songa mbele tuko nyuma yako. Wewe ni kirongora wetu katika hii vita ya mafisadiz.
Ikiwezekana achana na Halihalisi leta mdundo mwingine. Keep it up followers and supporters of Kubenea!!! Shame to Mafisadiz and their relatives, family, followers, and their supporters, including those who misdirect threads on Fisadiz.