Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zilizonifika zinathibitisha kuwa kubenea anatoka na gazeti linaloitwa HALIHALISI ambalo lilikuwa ni mali Ahmad Rashid wa chama cha CUF.bado haijajulikana kama ameuziwa au ameajiliwa huko
kumbe hata kubenea hakufungiwa alitakiwa hata yeye afungiwe kujihusisha kwa namna yoyote ile na mambo ya uandishi
that is the technical party of the penalty/sentence!!!kumbe hata kubenea hakufungiwa alitakiwa hata yeye afungiwe kujihusisha kwa namna yoyote ile na mambo ya uandishi
kumbe hata kubenea hakufungiwa alitakiwa hata yeye afungiwe kujihusisha kwa namna yoyote ile na mambo ya uandishi
Shy sasa hilo ndilo linaitwa bao la kisigino, mwendo mdundo!kumbe hata kubenea hakufungiwa alitakiwa hata yeye afungiwe kujihusisha kwa namna yoyote ile na mambo ya uandishi
Nawe nawe. Taaluma ya watu hiyo. Nenda kasome "Law of the Press" au tafuta wajuzi wakujuvye.kumbe hata kubenea hakufungiwa alitakiwa hata yeye afungiwe kujihusisha kwa namna yoyote ile na mambo ya uandishi
kumbe hata kubenea hakufungiwa alitakiwa hata yeye afungiwe kujihusisha kwa namna yoyote ile na mambo ya uandishi
Habari zilizonifika zinathibitisha kuwa kubenea anatoka na gazeti linaloitwa HALIHALISI ambalo lilikuwa ni mali Ahmad Rashid wa chama cha CUF.bado haijajulikana kama ameuziwa au ameajiliwa huko