Saed Kubenea na gazeti la MwanaHalisi


Usituchanganye hapa hao unaowafahamu labda ni majasiri kwenye viti virefu tu. Yaani wakishatoka ofisini.
 

Then Said Kubenea must be a genius. Kama ameweza kuwa na gazeti la uhakika kama mwanahalisi bila kuingia darasani basi hakuhitaji kwenda darasani wangemharibu. Inaonekana hivi vyuo vyetu kwa kiasi fulani vinafundisha watu kuwa bootlickers wazuri.
 
Namuona kama vile anahongwa au anatumika na kikundi fulani kwa ajili ya maandalizi 2015?

bado sijaona uandishi pale (umbeya mwingi_

Yaani hapa siajkuelewa kabisa, ulikuwa unamaanisha wanyakyusa ,wasafwa, wanyiha, wandali n.k.., au mabifu, matoki, matapatera, buganda, nimesahau jina la viazi ulaya n.k, sijakuelea hasa au wanawake majayanti na weusi, au nini hasa , mlima rungwe.... Au ulikuwa unamaanisha umbea.
 
Kama anachoandioka Kubenea nacho kinaonekana ni umahiri wa kiuandishi, then tuna tatizo hapa!!
 

sasa huo sio uhasiri. Huwezi kukaa kwenye chombo cha habari kinachokunyima uhuru wa kuandika ukweli ethically afu unataka uonekane jasiri. Watu ha unaowafahamu wapelekee ujumbe kuwa mzito anawaita WAPUMBAFU
 
mara ya kwanza kulisoma MWANA-HALISI, ni sept 2007 baada ya Dr Slaa kuianika 1st 11 ya waibia nchi tz a.k.a mafisadi.
jinsi gazeti lilivyowasilisha ile habari kwa kutaja na kuweka picha zote ukurasa wa mbele,wakati hakuna gazeti lolote lililoweza kutaja jina wala kuonyesha picha,hakika nikisema namkubali KUBENEA,je utabisha kama we si gamba!!
toka kipindi hicho hadi sasa jamaa kasimama ile mbaya.utadhani nchi hii haina wandishi na wachambuzi wengine.
jamaa ni kichwa hata ma-prof wa nchi hii hawamuwezi kwa uchambuzi wa true story..je nikimwita DR,KUBENEA, nitakua nimekosea?..


BIGUP KAKA KUBE..
 
Haya bwana naona unampa promo Bro kubenea...kiukweli jamaa yuko njema sana,japo anaweza akawa na mapungufu madogo madogo kama binadamu ambayo mimi kama msomaji mzuri wa magazeti yake bado sijaona hilo tatizo.
 

I support!!
 
kazi nzuri inafanywa bila woga kwa maslahi mapana ya watz.pongezi bro.kubenea!simama imara mara dufu tupo pamoja nawe.
 
Kubenea namkubali sana. Ila kama ananunulika kiaina, ukizingatia sakata la Lowasa na upresidency
 
Kubenea has been receiving financial support for his Newspaper from very people who have brought this nation to its knees. Knowingly or unknowingly, someone comes up with a heap of eclats on him. Hailing anything performed by Kubenea may suggest sympathy at MAFISADI inasmuch as he is one of the beneficiaries of them.
 
kubenea kaisha hana kitu tena alikuwa enzi hizo. hata sakata la UDA kanunuliwa na Robert Simon Kisena umewahi kumuona anaandika kitu kuhusu UDA na kama ataandika itakuwa juu tu. Nyaraka nyingi kuhusu UDA anazo na kuna mtu namjua alimpa nyaraka zote muhimu lakini hadi leo yuko kimya.

Labda kama umeanzisha thread hii kumuumbua hapa JF.
 
inasikitisha kwamba gazeti lake badala ya kwenda juu linarudi chini kuna kitu hakiendi sawa na kubenea
 
Ndiyo nakubali Kubenea ni mzalendo wa kweli; ni jasiri licha ya vitisho hata kumwagiwa tindi kali. Kubenea anajali na kuumizwa na adha zinazowakabili WaTz wanyonge. Anahitaji msaada thabiti wa WaTz wasomi wachambuzi.
 
Kubenea, anataka nae ubunge kupitia Chadema, kwake viongozi wa Chadema ni watakatifu hata siku moja huwezi kuwaandika vibaya.

Kama atakosa ubunge ndoto zake zingine awe msemaji wa Ikulu, Chadema watakapochuwa nchi.
 
Mbona negative response ni chache? Acheni ukauzu zaidi ya mchicha bwana jamaa yuko vizuri sio kama wengine nchi ina misiba ya wabunge wanandika kuhusu mbio za urais 2015.unaepinga umekaririshwa mcmamo co kosa lako.
 
kubenea hata mm namkubali sana ila waandishi wenzake wengi hawana mvuto ktk makalia zao na hii ni sababu ya gazeti lake kushuka, utakuta gazeti nzima ni makala ya kubenea tu ndo unaisoma na kuridhika ila nyingine unaishia nusu,
Namshauri akumnunua LULA NDALI WA NZELA wa raia mwema anaandika makala hadi hautamani iishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…