said kubenea na gazeti lake wanafanya kazi maalum kwa kikundi kidogo call them watu maalum wenye malengo maalum hasa ya kiuchumi na kisiasa. Siwezi kusoma gazeti ambalo kila siku habari ni za EL wakati nchi imejawa na uovu na waovu karibu kila sekta. Hatuhitaji mwandishi mwenye PERSONAL difference na mtu mmoja au taasisi moja. Niko bored na habari za EL karibu ktk kila toleo la mwanahalisi. Hatumuhitaji mwandishi mwenye kutumia taaluma yake na kalamu kubomoa tuu na si kujenga.Anyway time will tell haya yote kama kweli ni hero au anaganga njaa zake tu. We shall know that when time comes..