Wanalipia kutoa speech kwa wageni, wanalipia kuitangaza nchi yao na vivutio vyoote! Masikini huyu guide ana endesha gari akiwaza asimame duka lipi ili apate hela akalipie malazi baada ya kushusha wageni hotelini!
Huko huko mahotelini wanalipishwa bei za kukamua! HAWATAENDELEA!
Wanatangaza nchi kwa moyo, wanapambana kuitangaza nchi kwa hali na mali (magari nayo wanatengeza humohumo njiani) na uhai wa wageni au watalii huko kwenye mabarabara mabooovu ya hifadhini ila wanatazamwa kwa jicho la kuwa niwakosaji! (Tuna laana ama?)
UTALII NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU wenye vipawa waheshimiwe watunzwe wasibezwe!
WAZIRI - Kaa na hawa wadau TAIFA lijengwe lijengeke!
Huko huko mahotelini wanalipishwa bei za kukamua! HAWATAENDELEA!
Wanatangaza nchi kwa moyo, wanapambana kuitangaza nchi kwa hali na mali (magari nayo wanatengeza humohumo njiani) na uhai wa wageni au watalii huko kwenye mabarabara mabooovu ya hifadhini ila wanatazamwa kwa jicho la kuwa niwakosaji! (Tuna laana ama?)
UTALII NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU wenye vipawa waheshimiwe watunzwe wasibezwe!
WAZIRI - Kaa na hawa wadau TAIFA lijengwe lijengeke!