Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Uchaguzi huu ukipitishwa tu na CCM kugombea Udiwani au Ubunge, UMESHINDA. Wala hauna tena mashaka sijui upinzani.
Yaani huku Lumumba ni watu kutafuta tu connection za watu majimboni. Sasa hivi ubaya ubaya unafanyika ndani kwa ndani; yaani usishangae tu ukasikia mtu kapitishwa na Chama kesho kutwa akafanya sherehe ya kuuaga umaskini.
Ukipitishwa na CCM unakuwa umepitishwa kuwa Mbunge wa jimbo husika au Udiwani. Shaka hamna. Hili jambo linawafanya watu wamshukuru sana Mh Rais kawarahisishia sana kwa sasa.
Kinyang'anyiro, patashika na nguo kuchanika vitakuwa tu ndani ya chama mtu akipita huko.akitoka nje anakenua tu meno. UHAKIKA.
Yaani huku Lumumba ni watu kutafuta tu connection za watu majimboni. Sasa hivi ubaya ubaya unafanyika ndani kwa ndani; yaani usishangae tu ukasikia mtu kapitishwa na Chama kesho kutwa akafanya sherehe ya kuuaga umaskini.
Ukipitishwa na CCM unakuwa umepitishwa kuwa Mbunge wa jimbo husika au Udiwani. Shaka hamna. Hili jambo linawafanya watu wamshukuru sana Mh Rais kawarahisishia sana kwa sasa.
Kinyang'anyiro, patashika na nguo kuchanika vitakuwa tu ndani ya chama mtu akipita huko.akitoka nje anakenua tu meno. UHAKIKA.