Karibu sana DC mie niko salama ila niliamua kuchukua likizo ya muda mfupi kidogo.
Babu umejuaje kama bibi hajachakachuliwa?
karibu tena
Karibu sana DC mie niko salama ila niliamua kuchukua likizo ya muda mfupi kidogo.
Hivi ile ban ulikua umepewa ulikua umeamua kuchukua Likizo. ulisababisha Jamvi likafurika Thread za kuuliza kulikoni.
Halafu nyie mods hamkututendea haki, ina maana m2 hawezi kuchukua likizo bila kuomba ban?
Hivi ile ban ulikua umepewa ulikua umeamua kuchukua Likizo. ulisababisha Jamvi likafurika Thread za kuuliza kulikoni.
Halafu nyie mods hamkututendea haki, ina maana m2 hawezi kuchukua likizo bila kuomba ban?
Kama uliomba mapumziko kwa nini unataka kumpandisha babu pressure? Siku nyingine toa taarifa. Vinginevyo babu ataanza kutumia silaha yake ya mwisho kuwashushia laana wajukuu wasiomtakia mema!
Umeona eehh... Kama mtu kaomba si tuambiwe basi??
Babu umejuaje kama bibi hajachakachuliwa?
karibu tena
Karibu sana babu yangu, nilikumisi kupita maelezo, pole kwa safari babu. Karibu na chai hapa!!
Nadhani ulisahau kuwa afya ya babu inatembea kwa mwendo wa kuchechemea, au ulitaka urudi kutoa RIP ambazo hatazisikia?
Pole sana Babu haitatokea tena
Sawa sawa kajukuu kazuri,
Hebu basi nambie..hawa wajukuu wengine wameenda kuchezea wapi?
Yuko wapi the Finest, wapi Teamo, Maty, AD, Rose, Musinga, MJ1, Judith, BE.....
Shangazi yao Nyamayo naye je? Babu mwenzangu Asprin (2 kutwa mara 3) naye kapatwa na maswahibu gani?
Hebu endelea bas DA!!