ooooooooooooppppppppps, kumbe nafanya udalala! ha haaaaaaaaaaaaa. namsaidia huyo binti anaonekana bila infii hawezi kusimama
Aha ahaa anaogopa mapigo yangu huyo.Babu kaza buti................ huyo mjukuu amechanganyikiwa na kupotelewa na BE, na jana alisema kuwa TF ni serengeti boy hamtaki, nahisi kwa vikongwe ataridhia
Babu kaza buti................ huyo mjukuu amechanganyikiwa na kupotelewa na BE, na jana alisema kuwa TF ni serengeti boy hamtaki, nahisi kwa vikongwe ataridhia[/QUOTE) Hapo ndo unapoharibu sasa wenyewe walikuwa hawajaona!
Huu sasa ndio urafiki mwema! Hujambo rafiki?Babu kaza buti................ huyo mjukuu amechanganyikiwa na kupotelewa na BE, na jana alisema kuwa TF ni serengeti boy hamtaki, nahisi kwa vikongwe ataridhia
Huu sasa ndo urafiki wa mashaka.... Hujambo rafiki?Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh FP, hapa kunani? Kumbe hii kitu inahitaji madalali pia?
Ngoja nikamtumtafute LD anipatie kikombe cha chai mie!
Hapa ndipo rafiki wa kweli anapotetereka sasa!ooooooooooooppppppppps, kumbe nafanya udalala! ha haaaaaaaaaaaaa. namsaidia huyo binti anaonekana bila infii hawezi kusimama
Hapo ndipo rafiki wa mashaka anapokosea njia sasa.Kuuumbe...Mimi nilidhani unamsaidia babu mwenzangu asilale njaa. Kama ni dada itabidi tumsaidie pamoja..Nawapenda sana wajukuu zangu, kwa sitaki na wala sipendi wachakachuliwe kireja reja!!
Sio infii ni BE Pekee right?!ooooooooooooppppppppps, kumbe nafanya udalala! ha haaaaaaaaaaaaa. namsaidia huyo binti anaonekana bila infii hawezi kusimama
Babu DC karibu tena, mimi ninaitwa MwanajamiiOne, Mjukuu Mtiifu ingawa umenisahau but mimi ninakukumbuka. Msalimie Bibi.
We ni mjukuu wa babu yupi? Huyu wa makamo au mimi kikongwe?
Hebu nleee ugoro huku kabla hujajibu swali!
Babu DC karibu tena, mimi ninaitwa MwanajamiiOne, Mjukuu Mtiifu ingawa umenisahau but mimi ninakukumbuka. Msalimie Bibi.