Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,357
- 1,596
Habari wana JF na poleni kwa kipindi hichi cha corona.
Mimi ni mjasiriamali ninajishughulisha na biashara mbali mbali.ila katika harakati za kibiashara huwa napenda sana kufanya biashara ya kuuza nafaka ambayo imepakiwa kwa jina langu,mfano kama Azam.
Nilitaka nipite hapa ili niwaeleze jinsi ngani nimejipanga kuanza biashara nikiwa na ndoto ya kushindanishwa na bidhaa za Azam.
MALENGO
malengo yangu ni kuanzisha campuni inayojishughulisha na maswala ya chakula ambacho kimeppakiwa kwenye mifuko na kisambazwe kwa jina langu Tanzania na africa kwa ujumla.
Nitakuwa napakia vyakula kwenye mifuko.mfano:maindi unga,mchele,maharage nk ili niwe nasambanzia watu sehemu mbali mbali
Mfano wa picha hapo juu..
MIPANGO:
Ili kutimiza lengo la biashara hii nataka kwanza nianze tutafuta masoko nchi za tanzania,congo na burundi,hapo kila sehemu nitaweka store mbili mbili ili bidhaa inapofika vinauzwa hapo.
Lakini kabla ya kuanza kupakia products zangu,nitaanza kuuza nafaka kutoka kwenye kampuni zingine ili kupima upepo kwenye store hizo nitakazo kuwa nimefungua.
Ila lengo langu la baadae ni kufungua matawi mengi na kiwanda kikubwa chenye wafanyakazi wengi
MTAJI.
Nina mtaji wa M50 ndo bajet nimepanga katika harakati za kumfikia bakrhesa.
Nina kundi la watu watatu wachapa kazi kweli kweli wanaelewa nini wanafanya wanapokuwa kazini
Katika Team yangu kuna Msimamizi wa shughuli za uzalishaji vyakula,mtafuta masoko mtandaoni na mtaani na mtu wa mipango.wako vizuri maana nimeshashirikiana nao naona wako vizuri kabisa licha hawana elimu ya darasani lakin ni jeshi lenye kuwa na lengo la ushindi.
Nataka ninunue machine 3.
Machine ya kusaga maindi,mashini ya kukoboa maindi,na mshini ya mchele,
NB:najua zipo nyingi za kufanya kazi hii ila nataka nianzie kwanza na hizo tatu.
Kazi zingine zitafanywa na watu.
Baada ya kuanza kutengeneza bidhaa zangu nataka ninunue fuso la kusambaza bidhaa,dar,congo na burundi.
USHAURI.
Biashara hii sina uzoefu nayo na sijawahi kuifanya ila tu ninashauku ya kuifanya na nina imani itanipa pesa.
Sasa ndugu wewe mwana JF ambae una idea na wazo langu au una uzoefu na aina ya biashara ninayoenda kuifanya unaweza kunishauri nini ili nifanyikiwe katika biashara yangu ya kushindanishwa na Azam.
Mfano wa ushauri.
Kias gani kinafaa kuanza nacho.
Nizingatie vitu gani kabla ya kuanza.
Ni wapi nchini Tanzania panafaa kutafuta nafaka na kuweka kakiwanda kangu nk...
NAKUMBUSHA.
Nataka niwe napakiwa maindi,unga ambao nimetengeneza mimi,mchele nilikoboa mimi,maharage niachambue mimi na mazaoengini kwenye mifuko ya uzito tafauti na niwe sambaza nchi tatu tofauti.
Lakini baada ya hatua hii nataka niamie kabisa niwe nauza mpaka samaki wa kopo,yaani chakula kilichopagiwa kwenye makopo au mifuko
Mafano hapo chini
Ushauri wako waweza kunipa hatua ya mafanikio yangu.kwaiyo husisite kunielemisha chochote kuhusu mambo haya ya chakula.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi ni mjasiriamali ninajishughulisha na biashara mbali mbali.ila katika harakati za kibiashara huwa napenda sana kufanya biashara ya kuuza nafaka ambayo imepakiwa kwa jina langu,mfano kama Azam.
Nilitaka nipite hapa ili niwaeleze jinsi ngani nimejipanga kuanza biashara nikiwa na ndoto ya kushindanishwa na bidhaa za Azam.
MALENGO
malengo yangu ni kuanzisha campuni inayojishughulisha na maswala ya chakula ambacho kimeppakiwa kwenye mifuko na kisambazwe kwa jina langu Tanzania na africa kwa ujumla.
Nitakuwa napakia vyakula kwenye mifuko.mfano:maindi unga,mchele,maharage nk ili niwe nasambanzia watu sehemu mbali mbali
Mfano wa picha hapo juu..
MIPANGO:
Ili kutimiza lengo la biashara hii nataka kwanza nianze tutafuta masoko nchi za tanzania,congo na burundi,hapo kila sehemu nitaweka store mbili mbili ili bidhaa inapofika vinauzwa hapo.
Lakini kabla ya kuanza kupakia products zangu,nitaanza kuuza nafaka kutoka kwenye kampuni zingine ili kupima upepo kwenye store hizo nitakazo kuwa nimefungua.
Ila lengo langu la baadae ni kufungua matawi mengi na kiwanda kikubwa chenye wafanyakazi wengi
MTAJI.
Nina mtaji wa M50 ndo bajet nimepanga katika harakati za kumfikia bakrhesa.
Nina kundi la watu watatu wachapa kazi kweli kweli wanaelewa nini wanafanya wanapokuwa kazini
Katika Team yangu kuna Msimamizi wa shughuli za uzalishaji vyakula,mtafuta masoko mtandaoni na mtaani na mtu wa mipango.wako vizuri maana nimeshashirikiana nao naona wako vizuri kabisa licha hawana elimu ya darasani lakin ni jeshi lenye kuwa na lengo la ushindi.
Nataka ninunue machine 3.
Machine ya kusaga maindi,mashini ya kukoboa maindi,na mshini ya mchele,
NB:najua zipo nyingi za kufanya kazi hii ila nataka nianzie kwanza na hizo tatu.
Kazi zingine zitafanywa na watu.
Baada ya kuanza kutengeneza bidhaa zangu nataka ninunue fuso la kusambaza bidhaa,dar,congo na burundi.
USHAURI.
Biashara hii sina uzoefu nayo na sijawahi kuifanya ila tu ninashauku ya kuifanya na nina imani itanipa pesa.
Sasa ndugu wewe mwana JF ambae una idea na wazo langu au una uzoefu na aina ya biashara ninayoenda kuifanya unaweza kunishauri nini ili nifanyikiwe katika biashara yangu ya kushindanishwa na Azam.
Mfano wa ushauri.
Kias gani kinafaa kuanza nacho.
Nizingatie vitu gani kabla ya kuanza.
Ni wapi nchini Tanzania panafaa kutafuta nafaka na kuweka kakiwanda kangu nk...
NAKUMBUSHA.
Nataka niwe napakiwa maindi,unga ambao nimetengeneza mimi,mchele nilikoboa mimi,maharage niachambue mimi na mazaoengini kwenye mifuko ya uzito tafauti na niwe sambaza nchi tatu tofauti.
Lakini baada ya hatua hii nataka niamie kabisa niwe nauza mpaka samaki wa kopo,yaani chakula kilichopagiwa kwenye makopo au mifuko
Mafano hapo chini
Ushauri wako waweza kunipa hatua ya mafanikio yangu.kwaiyo husisite kunielemisha chochote kuhusu mambo haya ya chakula.
Sent from my iPhone using JamiiForums