Podcast
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 767
- 901
Habari wana jf kama ilivyo kawaida ya vijana na mambo ya mahusiano kila siku.
Kuna mtoto flan hivi wa kishua kweli anakaa moshi na anasoma chuo hapo hapo moshi town.sasa wazee sijawahi kula uyu mtoto sababu yeye yupo huko mimi nipo mkoa mwingine na tumewahi onana mara moja tu sasa nimeamua kumfuata uko uko moshi maana naona nitakuja kuambulia manyoya sasa.
Sasa hapa kuna baadhi ya vitu nahitaji kujua kuhusu moshi (kilimanjaro).
*Ni wapi naweza pata guest au lodge na kiasi cha chini kabisa ni bei gani.
*ni sehemu gani naweza kukaa nikapata msosi wa kawaida tu sina maisha mazuri kiasi hicho.
*Ukifika moshi ni sehem gani muhimu lazima ufike ili useme kweli nimefika moshi.
NB:bajeti isiwe kubwa jamani ikiwa kubwa siendi 😄😄
Kuna mtoto flan hivi wa kishua kweli anakaa moshi na anasoma chuo hapo hapo moshi town.sasa wazee sijawahi kula uyu mtoto sababu yeye yupo huko mimi nipo mkoa mwingine na tumewahi onana mara moja tu sasa nimeamua kumfuata uko uko moshi maana naona nitakuja kuambulia manyoya sasa.
Sasa hapa kuna baadhi ya vitu nahitaji kujua kuhusu moshi (kilimanjaro).
*Ni wapi naweza pata guest au lodge na kiasi cha chini kabisa ni bei gani.
*ni sehemu gani naweza kukaa nikapata msosi wa kawaida tu sina maisha mazuri kiasi hicho.
*Ukifika moshi ni sehem gani muhimu lazima ufike ili useme kweli nimefika moshi.
NB:bajeti isiwe kubwa jamani ikiwa kubwa siendi 😄😄