Safari ya Kwenda Mayotte: Mjuzi wa Kifaransa anahitajika

Safari ya Kwenda Mayotte: Mjuzi wa Kifaransa anahitajika

guwe_la_manga

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
2,820
Reaction score
2,758
Kifaransa nilikisoma kidogo mwaka 2004 pale Makongo Form 3 baadaye ya kuhamia pale tokea Lake Secondary School ya Mwanza. Sina msingi mzuri wa Form One and Two kwani sikufanikiwa kupata msingi mzuri wa Mwalimu wetu nguli bwana Komba.

Hivyo kabla sijazamia Mayotte naomba kama kuna mjuzi aliyekwiva anifungue macho kuhusu lugha hii. Kwa sasa nipo Meatu Simiyu. Nahitaji mbinu za kujifunzia lugha hii

Natanguliza shukrani.
 
guwe_la_manga,

Kama una msingi wa lugha, unaeza kujifnza online, ama kupitia Youtube mkuu, otherwise uende Arusha huko nina uhakika utapata sehemu nyingi na ambapo utajifunza kwa haraka zaidi.
 
Tafuta shule/chuo kunakopatikana mafundisho ya lugha. Huwa wana kozi za muda mfupi, wa kati na mrefu.

Nina imani huko utapata unachokihitaji kwa kiwango kizuri na bora.
 
guwe_la_manga,

Kama una msingi wa lugha, unaeza kujifnza online, ama kupitia Youtube mkuu, otherwise uende Arusha huko nina uhakika utapata sehemu nyingi na ambapo utajifunza kwa haraka zaidi.
Nitafanya hivyo mkuu
Arusha sehemu gani kama hautojali mkuu?
 
Tafuta shule/chuo kunakopatikana mafundisho ya lugha. Huwa wana kozi za muda mfupi, wa kati na mrefu.

Nina imani huko utapata unachokihitaji kwa kiwango kizuri na bora.
Nashukuru mkuu nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Mayotte mbona wanakiongea Kiswahili
Kifaransa wanaongea watu wachache hivyo kitanipa advantage. Pia ningependa nikafundishe kiingereza hivyo nikijua kifaransa itanirahisishia kutafsiri vyema masomo toka kiiingreza kwenda kifaransa kwani kifaransa bdiyo lugha rasmi
 

Attachments

  • Screenshot_20200626-153823_Duolingo.jpg
    Screenshot_20200626-153823_Duolingo.jpg
    32.5 KB · Views: 5
Nitafanya hivyo mkuu
Arusha sehemu gani kama hautojali mkuu?
Kuna sehemu inaitwa kimahama,...niliwahi kwenda na nilishangazwa na watu wengi wanaozungumza kwa ufasaha Lugha zingine,,,wakati huo kifaransa na Kiispaniola kimeshika hatama..walikuwa na hamasa kubwa saana.
 
Kuna sehemu inaitwa kimahama,...niliwahi kwenda na nilishangazwa na watu wengi wanaozungumza kwa ufasaha Lugha zingine,,,wakati huo kifaransa na Kiispaniola kimeshika hatama..walikuwa na hamasa kubwa saana.
Nitaenda huko,shukrani
 
Back
Top Bottom