Safari ya Lissu kuelekea Nairobi ilikuwa ni mateso na vilio, Spika Ndugai usitoneshe vidonda

Salute barafu
 
Si sahihi kumkashifu kiongozi mkubwa kama Ndugai . Barafu uwe na hekima na busara, Tabia kama hizi ndio zimesababisha Lissu akakosa msaada wa pesa.
Hahaaaa badala ya kusikitika imenibidi tu nicheke, kisu kimegusa mfupa [emoji30] [emoji30]
Shukrani kwa kuchangia
 
Alitedhamini ndege hakupenda hata kujulikana,zimepita siku ngapi tangu adhamini?

Ubaguz wa BUNGENI unaonekana na kusikika daily.
Sasa kwanini Lema aanze kutupa lawama kwamba hajahudumiwa na Bunge wakati Mbowe mwenyewe aliomba kwamba wanaomba mgonjwa asipitie njia zinazoruhusiwa na bunge na akasema wapi tayari kubeba gharama?, hivi kama mtoto wako amefaulu kwenda sekondari ya serikali lakini ukaona kwamba kwasababu shule za private ni bora zaidi ukaamua kumpeleka huko, bado utaomba serikali ukamlipie huko private?

Inaonekana wanaolaumu bunge hawafanyi kazi za kuajiriwa kwa maana ya kulipwa mshaara, au hawana bima ya afya, kawaida waajiri walio wengi huwakatia bima za afya wafanyakazi wao, wanapoumwa sio mwajiri tena anayehusika kumlipia mfanya kazi wake, wala hiyo pesa haipo tena kwa sababu ilishapelekwa kulipia bima, sasa ukitaka bunge litoe hiyo pesa kwa bajeti ipi wakati pesa ya matibabu ya Lisu ilishapelekwa NHIF, ila kwa mapenzi ya familia yake na Uongozi wa chama chake wameamua wasiitumie?, sasa kwanini waanze kuomba katika balozi mbalimbali wakati hata hizo nchi hutumia utaratibu huu huu wa bima ya afya wakijua kwamba matibabu ni ghali sana duniani kote?, sio rahisi kwa hizo nchi kuchangia lolote kwa sababu wanajua Lisu ana bima ya afya ila ni kutaka kuendeleza kiburi kisichokua na maana yoyote
 
Mie siwez kubishaba na wewe,ubish wangu na wewe hauna tija kwa Mgonjwa.
Ila huyo Turky amemkana bosi wa Bunge unataka niandike nini tena.
May God bless Lissu as my fellow human being.
 
itafika steji viamerika vitapanda kichwani Na ndipo hapo sasa. Ila ataondoka Na wengi hasa vibinti vya udom
 
BARAFU WEWE NI MUUNGO
 
Mie siwez kubishaba na wewe,ubish wangu na wewe hauna tija kwa Mgonjwa.
Ila huyo Turky amemkana bosi wa Bunge unataka niandike nini tena.
May God bless Lissu as my fellow human being.
Wewe ni mwongo tena mzandiki sana, clip ya video ya Turky inasambaa akihojiwa na waandishi wa habari anakubaliana na yote yaliyosemwa na Ndugai kwamba alitoa dhamana na CHADEMA wamelipa jana saa sita na nusu, acha mapenzi ya kitoto na lawama zisizokua na tija kwa mgonjwa, kama kweli mnampenda Lisu endeleeni kumchangia hadi apone, ama mrudisheni Muhimbili au Aga khan pale DSM ambapo NHIF itamlipia, na kama hofu ni usalama wake, kwanini vijana wa kikundi cha ulinzi wa viongozi wa Chadema tunaowaona wakati wa uchaguzi wasewekwe kumlinda masaa 24 hapo Hospitalini?, acheni kutumia hasira, kiburi na mihemuko isiyo kuwa na maana, haiwezi kumsaidia mgonjwa
 
 
Respect kwako Mkuu barafu
Sijajua motive behind ya Ndugai kuwa frontline ku spin tukio la kushambuliwa kwa Lissu,for whose benefit ????
Comrade
Kwani huelewi kuspin huku
Baada ya plan yao kufail
Wameanza kupindisha maneno
Shame on them

Kwa hili SISI tuliooko HUKU hatuungi mkono unyama huu kwa kificho eti 'wamefanya hayo kulinda maslahi mapana'

cc barafu
 
Akili zako ndipo zilipoishia kufikili pole sana!!! Mtabaki kufanya maigizo tu, yasioweza kuuza hata copy 10!! Poleni sana.
 
Hii nchi tumeshapoteza hata utu na ubinadamu. t
TL yupo hospitalini mahututi halafu watu wazima tena viongozi wanalumbana hadharani na kupotosha kuhusu ndege na gharama za kumsafirisha kwenda Kenya. Shame!

Sent using Jamii Forums mobile app
Taja majina kaka, acha uoga? Kama Ndugai sema, kama Lema sema au hata nani wewe mtaje tu. Uoga ni kifo!!
 
Amen [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…