Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mkuu kulikoni?wewe Malaya muuaji umeshapata wangapi wa kuliwa na mamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kulikoni?wewe Malaya muuaji umeshapata wangapi wa kuliwa na mamba?
Linapokuja suala la Lisu huwa linaniondolea amaniAmen!Mara ya kwanza alikwenda India akiwa amevaa suti na sandozi safari hii nasikia atarudi amevaa suti na vidole vya plastic:
Ndg yangu usidanganyike, kile upandacho ndicho uvunacho.Mjumbe lugha yako ina ukakasi. Spika Ndugai ni mtu mkubwa hapa kwetu tunamwita Mheshimiwa Ndugai, si "Ndugai". Ila wewe ni afadhali kidogo kuliko alivyosema Tundu Lissu: "mwambieni hiyo Magufuli wenu....".
Atarudi tu ndg yanguNatamani Lissu arudi bongo
[emoji87] [emoji87] vidole vya plastic[emoji96] [emoji96]Amen!Mara ya kwanza alikwenda India akiwa amevaa suti na sandozi safari hii nasikia atarudi amevaa suti na vidole vya plastic:
Hivi mshana jr nae ni buku7 Siamini!!Hapa wale vijana wa buku 7 lazima waombe poo!!
Lizaboni Tume ya Katiba Ruttashobolwa mshana jr Return Of Undertaker
Mungu hazihakiwi, Mamlaka yanawaponza watuNasikia wamekula vidole
Mungu ni mwema, mwenzio anaimarika yeye ndio hivyo anapunguzwa viungoKumbe ile "patasi" ilienda India ikiwa imevaa suti na malapa, alafu leo inakuja na kibesi eti ipo smart, watu wasiichezee. shwaini wahed kabisa.
Mungu hataniwi .Amen!Mara ya kwanza alikwenda India akiwa amevaa suti na sandozi safari hii nasikia atarudi amevaa suti na vidole vya plastic:
" NIITE , NAMI NITAKUITIKIA , NAMI NITAKUONYESHA MAMBO MAKUBWA , MAGUMU USIYOYAJUA "Yeremia 33:3
Mkuu upoo??!Tunaendelea kumkumbusha Speaker Ndugai...
Mkuu tulikua tunakutafuta sana hofu ikatutawala, ubhukheri wa afya?Tunaendelea kumkumbusha Speaker Ndugai...
Sasa tunaweza kujikumbusha na kujua nani alikuwa nyuma ya shambulizi hili.
Muda ndio mwalimu sahihiMkuu ukisikiliza upotoshaji aliokuwa anaufanya Ndugai leo ndio unajua kuna jambo chini ya kapeti. Halafu ni muda kidogo tu uliopita alikuwa India anatibiwa kwa kodi za wananchi, bila aibu anasema taratibu zifuatwe huku yeye mwenyewe analidanganya bunge na taifa kwa ujumla kuhusu Lissu.