utunze kumbukumbu lakin, baada ya mechi kuisha tukutane ili tuone kama mganga wako kakutabiria vema au kakudanganyasafari ya matumaini ya timu mbovu ya man utd inafikia ukongoni leo kwani celta vigo watashinda 2-0 na kuiacha man u ikikosa nafasi ya kuingia fainali.
Jana imeshushwa hadi nafasi ya 6 baada ya arsenal kushinda na kupata pointi 3 muhimu.
Hivyo safari ya matumaini ya man utd kushiriki uefa inahitimishwa leo. Huu ni ukweli ambao ni mchungu.
Mnasubiria Uefa super cup kupambana na Juventus?Kawaida yenu,tukishinda leo mtasema safari yenu itaishi fainali ajax atashinda, tusha wazoea, Sie ni makombe tuu,24 May tunabeba europa tunaxubir Uefa Super Cup,GG Man United.
Endelea kupiga dua lako la kuku. ... (nimekupa mbonge wa mtusiiiii)mimi nipo hapahapa