Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Mleta mada upo? [emoji79] [emoji79] [emoji79] [emoji79] [emoji79]safari ya matumaini ya timu mbovu ya man utd inafikia ukongoni leo kwani celta vigo watashinda 2-0 na kuiacha man u ikikosa nafasi ya kuingia fainali.
Jana imeshushwa hadi nafasi ya 6 baada ya arsenal kushinda na kupata pointi 3 muhimu.
Hivyo safari ya matumaini ya man utd kushiriki uefa inahitimishwa leo. Huu ni ukweli ambao ni mchungu.