safari ya matumaini ya timu mbovu ya man utd inafikia ukongoni leo kwani celta vigo watashinda 2-0 na kuiacha man u ikikosa nafasi ya kuingia fainali.
Jana imeshushwa hadi nafasi ya 6 baada ya arsenal kushinda na kupata pointi 3 muhimu.
Hivyo safari ya matumaini ya man utd kushiriki uefa inahitimishwa leo. Huu ni ukweli ambao ni mchungu.
Mkuu endelea hivyo hivyo na Midua yako mibaya maana inatusaidia kinoma Kumbe... Na final Rooney ndie atakuwa mana of the matchNIMEKUWA NIKIOMBA DUA MBAYA TOKA MASHINDANO YANAANZA LAKINI MANYUMBU YANATOBOA TUU DAHH!!!!!HEBU CELTA VIGO TUPENI RAHA JAMANI.
Mkuu endelea hivyo hivyo na Midua yako mibaya maana inatusaidia kinoma Kumbe... Na final Rooney ndie atakuwa mana of the match
Toka lini kitu usichokipenda kikakuburudisha?...Acha unafiki, utakuwa mchawi ukizeeka wewePOWA HAINA MBAYA NGOJA TUCHEKI FAINALI MNAWEZA KUPIGWA NA MPIRA WENU WA KIZAMANI ULE HAUNA MIPANGO WALA BURUDANI.
Mpira ni magoli tambua hilo. Pia mkuu karibu miaka minne mnatucheka sababu huwa tunafanikiwa na kuna kipindi mkaanza kutuonea huruma Kumbe ilikuwa ni dhihaka tu dah maana mlituchikia mno acheni tule Kaswala haka ila msimu ujao mtalia haswa tutaondoa wazembe wote kikosiniPOWA HAINA MBAYA NGOJA TUCHEKI FAINALI MNAWEZA KUPIGWA NA MPIRA WENU WA KIZAMANI ULE HAUNA MIPANGO WALA BURUDANI.
Kabisa umesema ukweliToka lini kitu usichokipenda kikakuburudisha?...Acha unafiki, utakuwa mchawi ukizeeka wewe
POWA HAINA MBAYA NGOJA TUCHEKI FAINALI MNAWEZA KUPIGWA NA MPIRA WENU WA KIZAMANI ULE HAUNA MIPANGO WALA BURUDANI.