Nimeamua kufunga safari kwenda jijini Manchester kumuuliza Mourinho huu uchawi ametoa wapi..Timu imemaliza namba sita kwenye msimamo wa ligi, lakini ina vikombe vitatu, na inanyatia kingine dhidi ya wababe wa ulaya Juve/Madrid (UEFA SUPER CUP), first eleven yote ni majeruhi lakini vikombe kama kawa, timu inachukua vikombe na wachezaji kama akina lingard, rashford....ndani ya miezi minne timu imecheza meci 38, huku chelsea ikiwa imecheza mechi 17.....aiseee, cha ajabu imeingia kwenye group stage ya champions league...hii ni shortcut ya hatari sana...huku liverpool akibaki kucheza play off