Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,996
- 3,950
—Kwanza napenda kumpongeza sana Muhammad D. Ni moja ya watu ambao wanamchango mkubwa kwa Simba kufika ilipofika. Huyu ni mmoja wa wamiliki wa Simba mwenye hisa kubwa kuliko yeyote as per individual.
—Muhammad anamiliki 49% ya hisa zote baada ya kukataliwa kumiliki zaidi ya 50% na Serikali ya TZ.
MICHUANO YA KLABU BINGWA AFRICA..
---------------------
— SSC imeonesha ukomavu kwenye soka na kikosi chake chenye gharama chini ya bil 3.
Tout Puissant Mazembe ni moja ya klabu tajiri barani Africa yenye historia nzuri ikiwa ni pamoja na kuchukua makombe hayo zaidi ya mara 4.
Kikosi chake Kina kadiriwa kuwa na gharama zaid ya bil 40 TZS.
—SSC imeweza kucheza mpira mzuri sana leo na pongezi za dhati ziende kwa Medie Kagere ambaye alionesha jitihada za dhati ni mchezaji akili nyingi anapokuwa maeneo ya 18, ile tikitaka aliyoruka hakika mungu anakuona Medie bahati haikuwa kwako tu.
— Kocha bado anatakiwa kusoma game kama hizi kimapana zaidi,Chama sio mchezaji wa kutoka kabisa, Chama ni moja ya wachezaji wanaoweza kuleta athari in no time hasa Kwenye game kama hizi. Aidha, kiwango cha Okwi kwakweli hakiridhishi japo bado ni mchezaji mzuri.
— I have no personal interest kuhusu Bocco, lakini hili nitalisema.
Kati ya wachezaji wa SSC ambao sio wa kutegemea na hawajawahi kuwa makini and not to trust basi ni Bocco.
—Bocco hata akiwa yeye na kipa hajawahi kuwa makini wala Creative. Nilistuka sana kuona kocha kumpa Bocco kupiga Penalty. Kuna jumla ya magoli mengi sana ambayo bocco anabaki yeye na kipa lakini still anakosa, na leo pia alipata position 2 yeye na kipa lakini ni totally disappointment .
—Akaja kuwa discourage wachezaji wote kwenye kukosa penalty. Tunajua hata Ronaldo huwa anakosa penalty, 'Isooke' lakini kwa Bocco ni muendelezo wa failure ambao amekuwa akionesha many times. Mpira sasa hivi ni biashara, ikiwa huwezi kuwa makini na creative kwakweli unaitia timu hasara na taifa zima. Mfano Samatta sio mchezaji mzuri sana but one of the thing ambayo sammata anayo ni kuweza kumalizia magoli vizuri. Wa TZ tuna vichwa vizito sana, wachezaji wa nje ndio wanaonekana kuwa makini mara nyingi sana. Seme wazi kuwa sijawahi kuwa na imani na Bocco tangu zamani. Bocco ni mchezaji ambaye mpaka ashinde ndio ushangilie hata kama yupo yeye na kipa, hate it or what but he has never been serious this dude.
—Goli la chama kati ya As Vita na Simba, kwa nafasi ile Bocco anapaisha, ni mchezaji asiye makini kabisa bila hata kujua umuhimu wa mechi anayocheza. Lakini pamoja na hayo ona kuwa haya yote tanatokana kwasababu kocha ameshindwa kusoma wachezaji wake vyema. Moja ya sifa ya kocha mzuri ni kujua wachezaji wako hasa kwenye game kubwa.
—Ni wazi kuwa mazingira ya Simba kusonga hatua ya nusu fainali ni madogo yaani chini ya asilimia 40, ni ukweli mchungu, face it.
—Lakni pamoja na hayo ni lazima watoke 4 kwenye hii Round na tumeshaona Al ahly ilivyochezea mvua leo, it is no Joke kuwa round hii ni ngumu.
—Simba imefikia hatua nzuri na ni fursa kwake na yafuatayo ni miongoni Muhammad anatakiwa kuyafanya,
1. Shauri atafutwe kocha mwingine mzuri zaidi na SSC iongeze bajeti kwa ajili ya kupata kocha bora
2. Muhammad alisema kuna wachezaji ambao SSC haitoendelea nao, basi Bocco na E.Okwi ni wachezaji wanaopaswa kuwa kwenye hiyo list especially Bocco, wamuuze right now. Maisha ya sasa ni ushindani, kama Huwezi kuonesha utofauti then hufai. Wa TZ hatujui kujiongeza wala kutumia fursa sijui tunashida gani lakini. Sammata alitokea Simba just kwa kuonesha utofauti, ni miongoni mwa wa TZ wachache wenye IO nzuri.
3. Usajili uzingatie wachezaji waliowahi kushiriki michuano ya kimataifa ambayo mchezaji âmeshiriki.
4.Usajili unapaswa kuzingatia nafasi ya beki, kiungo na safu ya ushambuliaji, pande zote hizi zinapwaya pwaya sana.
5. SSC inapaswa kuunda kamati itakayokuwa inafanya kazi ya kuleta proposal za namna gani timu inaweza kuongeza vyanzo vya fedha, mtaji mkubwa kwenye mpira ni pesa.
Pamoja na yote, SSC itambue kwamba nafasi ya kuvuka bado ipo kwenye mikono yao. Na hili litawezekana kama itaweza kucheza huko Congo kama ilivyocheza leo taifa, a die hard game. Inawezekana, ni Mind set tu. Tumewaona Tout Puissant, wala hawatishi kiivo, SSC wakichange Mind zao basi yanawezekana.
Mwisho, hili la Bocco lifanyiwe kazi.
Saturday 6, April 2019.
--------------------
Tunaomba na Yanga yetu apatikane Mdhamini wa dhati maana hali ni tete.
—Muhammad anamiliki 49% ya hisa zote baada ya kukataliwa kumiliki zaidi ya 50% na Serikali ya TZ.
MICHUANO YA KLABU BINGWA AFRICA..
---------------------
— SSC imeonesha ukomavu kwenye soka na kikosi chake chenye gharama chini ya bil 3.
Tout Puissant Mazembe ni moja ya klabu tajiri barani Africa yenye historia nzuri ikiwa ni pamoja na kuchukua makombe hayo zaidi ya mara 4.
Kikosi chake Kina kadiriwa kuwa na gharama zaid ya bil 40 TZS.
—SSC imeweza kucheza mpira mzuri sana leo na pongezi za dhati ziende kwa Medie Kagere ambaye alionesha jitihada za dhati ni mchezaji akili nyingi anapokuwa maeneo ya 18, ile tikitaka aliyoruka hakika mungu anakuona Medie bahati haikuwa kwako tu.
— Kocha bado anatakiwa kusoma game kama hizi kimapana zaidi,Chama sio mchezaji wa kutoka kabisa, Chama ni moja ya wachezaji wanaoweza kuleta athari in no time hasa Kwenye game kama hizi. Aidha, kiwango cha Okwi kwakweli hakiridhishi japo bado ni mchezaji mzuri.
— I have no personal interest kuhusu Bocco, lakini hili nitalisema.
Kati ya wachezaji wa SSC ambao sio wa kutegemea na hawajawahi kuwa makini and not to trust basi ni Bocco.
—Bocco hata akiwa yeye na kipa hajawahi kuwa makini wala Creative. Nilistuka sana kuona kocha kumpa Bocco kupiga Penalty. Kuna jumla ya magoli mengi sana ambayo bocco anabaki yeye na kipa lakini still anakosa, na leo pia alipata position 2 yeye na kipa lakini ni totally disappointment .
—Akaja kuwa discourage wachezaji wote kwenye kukosa penalty. Tunajua hata Ronaldo huwa anakosa penalty, 'Isooke' lakini kwa Bocco ni muendelezo wa failure ambao amekuwa akionesha many times. Mpira sasa hivi ni biashara, ikiwa huwezi kuwa makini na creative kwakweli unaitia timu hasara na taifa zima. Mfano Samatta sio mchezaji mzuri sana but one of the thing ambayo sammata anayo ni kuweza kumalizia magoli vizuri. Wa TZ tuna vichwa vizito sana, wachezaji wa nje ndio wanaonekana kuwa makini mara nyingi sana. Seme wazi kuwa sijawahi kuwa na imani na Bocco tangu zamani. Bocco ni mchezaji ambaye mpaka ashinde ndio ushangilie hata kama yupo yeye na kipa, hate it or what but he has never been serious this dude.
—Goli la chama kati ya As Vita na Simba, kwa nafasi ile Bocco anapaisha, ni mchezaji asiye makini kabisa bila hata kujua umuhimu wa mechi anayocheza. Lakini pamoja na hayo ona kuwa haya yote tanatokana kwasababu kocha ameshindwa kusoma wachezaji wake vyema. Moja ya sifa ya kocha mzuri ni kujua wachezaji wako hasa kwenye game kubwa.
—Ni wazi kuwa mazingira ya Simba kusonga hatua ya nusu fainali ni madogo yaani chini ya asilimia 40, ni ukweli mchungu, face it.
—Lakni pamoja na hayo ni lazima watoke 4 kwenye hii Round na tumeshaona Al ahly ilivyochezea mvua leo, it is no Joke kuwa round hii ni ngumu.
—Simba imefikia hatua nzuri na ni fursa kwake na yafuatayo ni miongoni Muhammad anatakiwa kuyafanya,
1. Shauri atafutwe kocha mwingine mzuri zaidi na SSC iongeze bajeti kwa ajili ya kupata kocha bora
2. Muhammad alisema kuna wachezaji ambao SSC haitoendelea nao, basi Bocco na E.Okwi ni wachezaji wanaopaswa kuwa kwenye hiyo list especially Bocco, wamuuze right now. Maisha ya sasa ni ushindani, kama Huwezi kuonesha utofauti then hufai. Wa TZ hatujui kujiongeza wala kutumia fursa sijui tunashida gani lakini. Sammata alitokea Simba just kwa kuonesha utofauti, ni miongoni mwa wa TZ wachache wenye IO nzuri.
3. Usajili uzingatie wachezaji waliowahi kushiriki michuano ya kimataifa ambayo mchezaji âmeshiriki.
4.Usajili unapaswa kuzingatia nafasi ya beki, kiungo na safu ya ushambuliaji, pande zote hizi zinapwaya pwaya sana.
5. SSC inapaswa kuunda kamati itakayokuwa inafanya kazi ya kuleta proposal za namna gani timu inaweza kuongeza vyanzo vya fedha, mtaji mkubwa kwenye mpira ni pesa.
Pamoja na yote, SSC itambue kwamba nafasi ya kuvuka bado ipo kwenye mikono yao. Na hili litawezekana kama itaweza kucheza huko Congo kama ilivyocheza leo taifa, a die hard game. Inawezekana, ni Mind set tu. Tumewaona Tout Puissant, wala hawatishi kiivo, SSC wakichange Mind zao basi yanawezekana.
Mwisho, hili la Bocco lifanyiwe kazi.
Saturday 6, April 2019.
--------------------
Tunaomba na Yanga yetu apatikane Mdhamini wa dhati maana hali ni tete.