Safari ya miaka 9 tangu kuacha kazi. Hamasa kwa vijana wenye maono makubwa

Safari ya miaka 9 tangu kuacha kazi. Hamasa kwa vijana wenye maono makubwa

Hizo blessings zimekuja baada ya wewe kuwa mtoaji kwa ndugu zako.

Hapo kuwa wewe ndo Mwalimu pekee hii imekaa kimkakati Sana japo is cool Ila Tafuta waalimu competent unawapa kazi then wewe unakuwa Una-deal na kutafuta wateja.na usimamizi.

✊🏿✊🏿✊🏿
 
Huu uzi hata kama mtu anataka kuacha kazi lazima aogope akiusoma. Imagine msoto wa miaka yote hyo🤣🤣. Kwanini usingekopa hata Million 10 ndo uache kazi ukiwa na Mtaji wa kueleweka?
Angekopa angechanganyikiwa kabsa mkuu. We huoni hapo amesema huo mtaji aliokuwa nao uliyeyuka kwny biashara ya mazao. Sasa km angekopa angerudishaje iyo hela?
 
Sjaona uliko fanikiwa zaidi naona ulikulupuka kuacha kazi bila kuwa na mipango thubutu kama ulikuwa na uthubutu naimani ungeendelea na ualimu wako ndani ya hii miaka Tisa ungekuwa umepata zaidi ya hicho ulicho nacho sahv maana naona kama unajutia zaidi kuacha kazi sioni ambacho mtu atasoma akahamasika kuacha kazi zaidi naona umeelezea mateso tu ulivyo teseka na hii imetokana na jamii yetu/ wengi wetu kuona kuwa mateso n sifa moja wapo ya kufanikiwa n vile tumetokea familia nyingi za kimasikini.

Hapo ulipo unatamani kusema vijana msiache kazi kabla hamjajipata ila unaona Andiko lako litakosa ualali any way pole sana mkuu narudia pale pale ulikulupuka kuacha kazi over tuition center ata dogo aliemaliza form six anaweza pambana akamiliki hayo sio mafanikio ya kujivunia Asante[emoji109]
 
Dah! Watu wanapitia mengi,Jana nimeona Jamaa mmoja amepaki Range Rova mpya namba E,nikafikilia sana why not me? Baadae akapita mbaba flani 50 years ivi kimuonekano nikaconfirm namzidi namie kipato lakini anafuraha sanaaa.

Umaskini unatesa sana, ogopa sana Binadamu wengi wanafiki ukiwa vizuri wanakupenda ukiishiwa wanakutenga sana mpaka wanakuonesha live kwamba si chochote kwao,tuheshimu pesaaa.
 
Back
Top Bottom