binafsi nina miaka 2 sijakanyaga Mwanza.
1.Biashara ya dagaa ipo vzuri sana kama utapata masoko hasa nje ya Mwanza.
2. Biashara ya chakula pia ipo poa sana kama utaweza kupata wapishi wanaojuwa kupika vizuri.
3. Kwa nyumba siwezi kukushauri coz sijajua utapenda kuishi eneo gani na ubora wa nyumba unaotaka.. Ila wajuzi wenzangu waliopo huko watakupa mengine mapya ya sasa subiri wanakuja.
Yangu ni hayo sijajua kwa sasa pakoje huko.
Lending unamaanisha awe anakopesha au?Mkuu mwanza fungua lending maeneo ua Buhongwa utapiga pesa
Habari!
Natarajia kwenda jiji mwanza mwanzoni mwa mwezi wa nane kibiadhara,naomba kufahamu yafuatayo kutoka wenyeji na wakongwe wa jiji;
1. Biashara yeyote yenye faida kwa mtaji mdogo
2. Maeneo salama yenye nyumba nzuri za kupanga ndani ya jiji.
Ahsante,karibu kwa ushauri na maoni
Mkuu kama hutajali toa somo la biashara hizo kwa faida ya wote au kama vp nichek pm. Wiki ijayo nakuja kuangalia biashara ya mtaj mdogo. Unaonekana ni mzoefu hapo. Tusaidiane mkuuUkija ntafute kuna biashara zenye pesa nyingi sana lakini ndio zinakaribia kunitoa roho hakuna kukataa tamaa