nitazoea
Senior Member
- Mar 15, 2017
- 195
- 237
Habari!
Natarajia kwenda jiji mwanza mwanzoni mwa mwezi wa nane kibiadhara,naomba kufahamu yafuatayo kutoka wenyeji na wakongwe wa jiji;
1. Biashara yeyote yenye faida kwa mtaji mdogo
2. Maeneo salama yenye nyumba nzuri za kupanga ndani ya jiji.
Ahsante,karibu kwa ushauri na maoni
Natarajia kwenda jiji mwanza mwanzoni mwa mwezi wa nane kibiadhara,naomba kufahamu yafuatayo kutoka wenyeji na wakongwe wa jiji;
1. Biashara yeyote yenye faida kwa mtaji mdogo
2. Maeneo salama yenye nyumba nzuri za kupanga ndani ya jiji.
Ahsante,karibu kwa ushauri na maoni