Safari ya rais Uhuru, China yatia mkataba na kuifanya Kenya kuwa taifa la kwanza Afrika kuuza maparachichi China

Safari ya rais Uhuru, China yatia mkataba na kuifanya Kenya kuwa taifa la kwanza Afrika kuuza maparachichi China

Tuna maparachichi mazuri
Tuna Asali nzuri tu
Tuna bidhaa zinazotokana na kilimo bora lkn watu wanafuga mifugo nyama tunazo
Lkn serikali hawana nia ya kuwatafutia wananchi fursa kwenye masoko ya nje

Ova
Mkuu fursa sio serikali itutafutie bali ni sisi wa kupata
Ila vibali ndio shida wala hawajali
Jaribu kunitumia veg huku kaulize vibali maana hata wao hawajui nani anavitoa
 
Wao wamekimbilia wanasema ukikutwa na mfuko fine.....wao wanafikiria kuchuma tu

Ova
Plastic hazichafui mazingira ila sisi ndo tumeshindwa kutengeneza Sera za kutumia taka za plastic ili zipunguze shida ya ajira kwa Vijana wapewe mafunzo watengeneze vitu mbali mbali tokana na taka za plastic mfano tile,vigae,roof tiles za kuezeka nyumba ,lami,mbao,dizeli,petrol,gas,matofali hii itachochea tatizo la taka kutozagaa mitaani,atakaekufanya atapata pesa,atakaezirecycle atapata pesa kwa kuuza bidhaa zitokanazo na malighafi ya taka
 
Rais Uhuru wa Kenya leo amesaini makubaliano ya kuiuzia China mapalachichi yote yanayo zalishwa nchini humo na kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kupata bahati hiyo.

Wakati sisi maparachichi yetu ya Njombe tunaambiwa yatapata kuuzwa baada ya kupata ndege ya mizigo.
Hivi kusaini, maana yake Kenya hatakuwa na ruhusa ya kumuuzia nchi nyengine ispokua China si ndiyo? Sasa hii ina uzuri gani?
 
Plastic hazichafui mazingira ila sisi ndo tumeshindwa kutengeneza Sera za kutumia taka za plastic ili zipunguze shida ya ajira kwa Vijana wapewe mafunzo watengeneze vitu mbali mbali tokana na taka za plastic mfano tile,vigae,roof tiles za kuezeka nyumba ,lami,mbao,dizeli,petrol,gas,matofali hii itachochea tatizo la taka kuzagaa mitaani
Recycling hatuwezi

Ova
 
Pole sana mkuu jana nimeshuka na mwewe sijui wewe mwendesha guta
Dah...bora niendelee kuendesha guta tu...kuliko kushuka na mwewe halafu nashindwa kuelewa vitu vidogo sana [emoji56][emoji41]
 
Pole sana ndugu yangu maana usilo lijua ni sawa na usiku wa giza nene
Dah...bora niendelee kuendesha guta tu...kuliko kushuka na mwewe halafu nashindwa kuelewa vitu vidogo sana [emoji56][emoji41]
 
Hapa nyumbani bavicha wapo busy kumshangilia siii ei jii; kukebehi utabiri wa mamlaka ya hali ya hewa na kusubiri kauli za mboye na nyepesi na kuzishangilia.
 
Rais Uhuru wa Kenya leo amesaini makubaliano ya kuiuzia China mapalachichi yote yanayo zalishwa nchini humo na kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kupata bahati hiyo.

Wakati sisi maparachichi yetu ya Njombe tunaambiwa yatapata kuuzwa baada ya kupata ndege ya mizigo.
Kwani hayo maparachichi yetu ya mbeya umekwenda huko na kujiridhisha kuwa tuna uwezo kuwalisha wachina kwa kiwango tosha?

Je una uhakika na kiwango chake vha ubora?

Hivi wewe una mahali katika ilani ya ccm unapoweza kutusomea kwamba serikali ya tanzania inashindana na kenya kwa maendeleo?

Msiwe mmeishiwa hoja na sasa kazi yenu ni kukopy na ku paste taarifa mbalimbali fukyn nyie!

Jana ulikuwa na sugu leo umeamka na kenyatta.
Si upeleke hiyo punye huko!

Kila nchi ina mipango yake ya maendeleo kutokana na fursa zinazojitokeza.

Sio kila mtu humu JF akiamka hata bila kupiga mswaki unakimbilia ku post ili mradi tu umpendaye au aliekuwa akikuwezesha yuko katemwa basi woote mloumia mnakaa kuchonganisha wananchi.

Narudia hii ni blood fukny politics mnafanya nyie wachumia tumbo.

#Tutasimama na JPM 2020 - 2025 [emoji1241][emoji818][emoji943]
 
Back
Top Bottom