Safari ya rais Uhuru, China yatia mkataba na kuifanya Kenya kuwa taifa la kwanza Afrika kuuza maparachichi China

Malaika akiamka ameota ndoto ndiyo hiyo hiyo inatumika kama sheria
 
Hapa kwetu ni majungu tu na kuharibu tulichokwisha kizalisha
 
Tuliambiwa tunasubiri ndege ya mizigo ndiyo tuanze ku export
Hakuna jipya hapo na tutabaki hivi hivi
Siku nikiona hata ndimu ya Tz kwenye soko la Ulaya ntapiga selfie
Ila sijivui nguo kama jamaa
 
Wa kwetu anafanya ziara eti ya kuzindua kiwanda mbeya cha maparachichi.
Badala ya kutafuta masoko yeye anazindua kiwanda cha maparachichi huko tukuyu.
 
Sisi wacha kwanza tupitishe sheria ya kuvidhibiti vyama vya upinzani hasa cdm na act
 
Huu uzi ni wa watu wastaarabu habari za matusi peleka kwenu huko mliko zoea kutukana watu na mwenzako chakubanga
Kwani wewe una tofauti gani na wale waliofanya mazishi ya kitaifa ya mbwa?
 
Reactions: Oii
Nashukuru kwa ushauri wako ila sasa kwakuwa ushatembea naona unaeleweka
Naomba uedit huo uzi wako mkuu kama hutojali hiyo habari inasomeka hivi kwa kirefu naweka
 
Hapo sasa ndiyo tunazidi kukwama
 
Sasa maparachichi yote yaende China halafu sisi tule nini?
 
Sawa mkuu wacha tuendelee kubishana ba seigi
Ata nchizote za Afrika mashariki zizalishe maparachichi haziwezi kukidhi soko la Uchina, Soko ni kubwa sana, kwaiyo tusinyosheane vidole kila Nchi ilime itapata sokoUchina ilimradi matunda yawe na ubora.
 
Tanzania pia ina makubaliano kama hayo na ndio ilikua ya kwanza.wakenya wanazalisha maparachichi meng lakin ubora wake uko chini kuringanisha na parachichi is Rungwe ambao moja kati ya maparachichi bora.mzarishaji mkubwa kwa sasa ni wilaya ya Rungwe kwa Tanzania.
 
Mwishowe wabaki na afya mbovu....
Wao wabaki wanakula nini!?

Parachichi za Bongo si wenyewe hazitutoshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…