Safari ya rais Uhuru, China yatia mkataba na kuifanya Kenya kuwa taifa la kwanza Afrika kuuza maparachichi China

Safari ya rais Uhuru, China yatia mkataba na kuifanya Kenya kuwa taifa la kwanza Afrika kuuza maparachichi China

Rais Uhuru wa Kenya leo amesaini makubaliano ya kuiuzia China mapalachichi yote yanayo zalishwa nchini humo na kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kupata bahati hiyo.

Wakati sisi mapalachichi yetu ya Njombe tunaambiwa yatapata kuuzwa baada ya kupata ndege ya mizigo.
Ya kwenu mtauza Malawi kwa Mutharika.
 
Rais Uhuru wa Kenya leo amesaini makubaliano ya kuiuzia China mapalachichi yote yanayo zalishwa nchini humo na kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kupata bahati hiyo.

Wakati sisi mapalachichi yetu ya Njombe tunaambiwa yatapata kuuzwa baada ya kupata ndege ya mizigo.
Yenu mtauza Malawi na Rwanda si ndio ma partner wenu
 
Aliyetangulia katangulia tu wacha kujipa moyo
Ata nchizote za Afrika mashariki zizalishe maparachichi haziwezi kukidhi soko la Uchina, Soko ni kubwa sana, kwaiyo tusinyosheane vidole kila Nchi ilime itapata sokoUchina ilimradi matunda yawe na ubora.
 
Siasa zetu na Uchina Mkulu anapaswa anaong'onezwe...nahisi kuna gap kubwa kati Peking na Dodoma...na kuna watu wanaendesha hili zoezi kwa uangalifu sana .....

JPM ni Mfuasi mtiifu wa maono na nyendo za Mzee Julius....yeyote awaye anayem block na UCHINA sasa hamtakii mema.

Uhuru ameenda na Ojwang Raila....Clear msg to the world .....

HATUNA CHA KUPOTEZA KWA KUWA KARIBU SANA NA UCHINA SASA
 
Okay forgetting the obvious bias by our neighbours to the south here are some facts
1) Kenya is one of the largest producers of avocado in africa about 40,000 tonnes go to waste so this is a good deal to cut the losses to farmers.
2) Kenya had banned fish from china from coming into our market, we had also restricted chinese participation in the medium business segment of our economy. This is a way for the chinese to thaw that trade dispute because kenya is extremely important in Africa. All chinese giants have their africa HQ in Nairobi eg. starTimes, xinhua news network(The largest studio outside of china), Huawei etc. And the chinese also know that the west does not like their inroads in kenya, so unlike how they will force other countries to do their bidding they have to be more diplomatic with Kenya, because we have options.
3) Kenya already has the highest standard of horticulture products apart from south africa, that is why our main competitor in horticulture is south africa. Go to europe or the usa, if you buy flowers, mangoes, french beans, peas etc there is a 40% chance it was grown in kenya. so why should they skip Kenya, a workforce with a proven european standard health quality products?
4) The kenya legal system has become among the most free after south africa, this gives confidence to investors and importers of kenyan products that they can have redress any time their rights are infringed upon.
5) Kenya offers the most easy route for the chinese to build influence in africa, due to kenya's strategic position as a centre of excellence in diplomacy, business(The undisputed king in east africa) and they will have access to the third largest port in Africa.
 
Hapa Jaramogi pale Uhuru hiyo timu ni hatari sana kwa kuikimbiza nchi yao wakenya
Siasa zetu na Uchina Mkulu anapaswa anaong'onezwe...nahisi kuna gap kubwa kati Peking na Dodoma...na kuna watu wanaendesha hili zoezi kwa uangalifu sana .....

JPM ni Mfuasi mtiifu wa maono na nyendo za Mzee Julius....yeyote awaye anayem block na UCHINA sasa hamtakii mema.

Uhuru ameenda na Ojwang Raila....Clear msg to the world .....

HATUNA CHA KUPOTEZA KWA KUWA KARIBU SANA NA UCHINA SASA
 
China itakua inanunua 40% ya maparachichi ya Kenya, majirani wenye akili watumie fursa hii kusafirisha ya kwao kwa mgongo wa Kenya kama ilivyo kwa vitu vingine vyote maana wao kujitafutia soko ni shida, leteni vya kwenu tunaandika vimetoka Kenya kisha tunaongeza cha kwetu juu na moja kwa moja vinapata soko.
Ndio uzuri wa kuwa mjanja na kwenye kutumia ubongo dunia hii, hauwezi ukabarikiwa na kila kitu, kule nje hakutaki ze ze ze yaani lazima ujue jinsi ya kujieleza na kucheza hizi karata.

Wachina ni zaidi ya bilioni moja, aisei soko lote hilo yaani hongera sana rais Uhuru, mbele kwa mbele ikumbukwe kwa maua tu uchumi wetu umeongoza ukanda wote huu na leo unakua kwa 6.3% sasa hapa kwa maparachchi na bado wapo mezani...
------------------------------
The avocado export deal signed, makes China one of the largest importers of the fruit
It is estimated that when the agreement is fully implemented, the Chinese market will absorb over 40 per cent of Kenya’s avocado produce, making it one of the largest importers of the fruit. Other famous destinations of Kenyan avocado include Europe and the US


https://www.nation.co.ke/video/news/4146788-5087884-leudqz/index.html


Ahaaa haaa haaa
Jinga kabisa, mlienda kwa ajili ya SGR, halafu mnakuja na habari za MAPARACHICHI.
BURE KABISA.
 
Ata nchizote za Afrika mashariki zizalishe maparachichi haziwezi kukidhi soko la Uchina, Soko ni kubwa sana, kwaiyo tusinyosheane vidole kila Nchi ilime itapata sokoUchina ilimradi matunda yawe na ubora.
Ndio nakubaliana na wewe kwamba ata kama Africa nzima import parachichi China atutowatosheleza.

Je soko la nchi kwa nchi ni kama wewe utoke kimara uende mahakama ya ndizi pale Mabibo?
 
Back
Top Bottom