Safari ya Spika Sitta Urambo baada ya NEC August 2009

Safari ya Spika Sitta Urambo baada ya NEC August 2009

M-bongo

Tunakusubiri kwa hamu na habari ya Mzee Sitta leo hapo Tabora,na tafadhali kama atalizungumzia suala la kubanwa na NEC-CCM uje utueleze kama ama amekiri kama alifanyiwa vimbwanga na akina Chilligati au na yeye anajiuma-uma kuelezea ukweli kwa watz!

Then,kama una kitu cha kurekodia itakuwa vyema kumnasa akieleza mwenyewe yaliyotokea NEC-Dodoma!

Usitegemee Six kuropoka atakuwa makini na neno lolote atakaloongea kwani jamaa wamejiandaa vya kutosha kunukuu atakaloongea kumbuka yuko under probation until next bunge session FYI
 
Ni kweli viongozi wa chama wa mkoa wamepigiwa simu na fisadi makamba na kuwaonya kushiriki katika mapokezi hayo na kutotumia hela yoyote ya chama kwa shughuli hiyo,mwenyekiti wa chama ameshawasiliana na sitta na kumtaarifu juu ya hilo na kumwonda radhi kuwa hatakuwepo ila wako pamoja katika mapambano.
Cha kushangaza ni kuwa makamba kama kiongozi wa chama kwanini anawagawa wanachama?,zoezi kama hilo alifanya Chenge na Lowasa wa hakuthubutu kufanya haya anayoyafanya sasa,yeye na wafuasi wake wameplot kumng'oa spika Dodoma wameshinda sasa wanatapata kumfuta huko Tabora.

Wakati huohuo wananchi na viongozi wa chama wa wilaya ya urambo wanaendelea na maandalizi ya kumsubiri shujaa wao huyo na wamekataa katakata kuitikia wito wa Makamba.

Nimejaribu kuongea na mtu wa karibu wa sitta ili kujua kama sitta amesikia njama hizo akaniambia ni kweli na amesema yeye yuko pamoja na wananchi na kamwe hatishiki na njama hizo na kwa wakati huu hawahitaji hao viongozi anachojali ni wananchi waliomtuma kazi ya kupambana na ufisadi.
MUDA HUU SITTA YUKO NDANI YA NDEGE KUELEKEA TABORA.
 
Sitta hatarajiwi kuongea huko Tabora zaidi ya kuwashukuru wapiga kura wake kwa mapokezi. Ni kweli baadhi ya viongozi wa CCM kule Tabora walikuwa wanapigiwa simu na watu waliokuwa wanajitambulisha eti ni kutoka makao makuu ya CCM Dodoma wakiwataka wasitishe mapokezi ya Sitta. Lakini ilibainika baadaye kwamba watu hao ni wale wale waliokula hela ya RA na EL ili kumsulubu Sitta kwenye NEC. Hawa mafisadi ni watu hatari sana. Wananchi tuwe macho...
 
Last edited:
hii biashara ya kupokelewa kwa maandamano naona imepoteza ladha kama bigijii. hata mafisadi (lowasa, et al) na wauaji (huko libya) tumeona wakipokelewa kwa namna hiyo hiyo. tubadilishieni wimbo huu tafadhali. waje na kitu kipya!!
 
Niliona kwa mbali jina la Dr Slaa kwenye "Currently Active Users Viewing This Thread". Nilitarajia kuoana mchango wake kwenye hili.
 
Mkuu M-bongo vp umepotea hakuna updates zozote zile?
 
M-bongo!

Any updates? Nadhani ETA ya Precision Air ni 12:15am hapo TBR?

Dakika 45 zimepita Mkuu au Engineer anacheza TAARAB kwenye Muziki wa HIP-HOP?
 
M-bongo!

Any updates? Nadhani ETA ya Precision Air ni 12:15am hapo TBR?

Dakika 45 zimepita Mkuu au Engineer anacheza TAARAB kwenye Muziki wa HIP-HOP?
Labda bado anacheck in na Immigration !
 
Mlioko Tabora plz wekeni mambo bayana ikiwezekana muwepo na mrekodi au hata slide show mzilete.pindi akifika.
 
Kosa la Spika Sitta n i kulikumbatia sana kanisa kuliko serikali. Huyu ni mtendaji kazi mzuri, lakini doa lake ni yale mapenzi yake makubwa ya kanisa ndio yatayomuangusha.

Ni vyema achague moja ama kulitumikia Kanisa au Serikali. Na ni lazima aonyeshe sura yake hapa , asituzugezuge akidhani sisi ni watoto wadogo.

Sioni sababu ya Sitta kuukumbatia waraka wa uraia uliotolewa na Katoliki. Ikiwa yeye ndio kiongozi mkuu Bungeni, na Bunge ni chombo kikubwa sana kinachoweza kuikosoa serikali. Halafu leo yeye kama kiongozi atuambie eti serikali imeshindwa kutoa elimu ya uraia, Kichekeshoooo!!!!!!! Basi ni bora ajiuzuru, na aende kule anakofikiri kuwa wanaubavu wa kuwahudumia wananchi. Hapa amechemsha na vita hii hawezi kushinda.

Kimsingi ukilikumbatia klanisa utavuma sana kama nguvu ya Pepsi, lakini mporomoko wake huo baadaye ni sawa na mtu anayeharisha. Hebu muangalieni Raisi wa zamani wa Rwanda Habyarimana. Alilikumbatia kanisa kama vile yeye ndiop Baba Askofu.

Haya Kumekucha!!!!!!!!!
 
Kosa la Spika Sitta n i kulikumbatia sana kanisa kuliko serikali. Huyu ni mtendaji kazi mzuri, lakini doa lake ni yale mapenzi yake makubwa ya kanisa ndio yatayomuangusha.

Ni vyema achague moja ama kulitumikia Kanisa au Serikali. Na ni lazima aonyeshe sura yake hapa , asituzugezuge akidhani sisi ni watoto wadogo.

Sioni sababu ya Sitta kuukumbatia waraka wa uraia uliotolewa na Katoliki. Ikiwa yeye ndio kiongozi mkuu Bungeni, na Bunge ni chombo kikubwa sana kinachoweza kuikosoa serikali. Halafu leo yeye kama kiongozi atuambie eti serikali imeshindwa kutoa elimu ya uraia, Kichekeshoooo!!!!!!! Basi ni bora ajiuzuru, na aende kule anakofikiri kuwa wanaubavu wa kuwahudumia wananchi. Hapa amechemsha na vita hii hawezi kushinda.

Kimsingi ukilikumbatia klanisa utavuma sana kama nguvu ya Pepsi, lakini mporomoko wake huo baadaye ni sawa na mtu anayeharisha. Hebu muangalieni Raisi wa zamani wa Rwanda Habyarimana. Alilikumbatia kanisa kama vile yeye ndiop Baba Askofu.

Haya Kumekucha!!!!!!!!!

Mmmh! hayo nayo ya Zawadi Ngoda!
 
M-bongo mbona kimya vp!!!
Pipa limeghairi nini au limebadilisha muelekeo!!??. Wadau dado tumetolea macho monita zetu. Kila la kheri mkuu...
 
mkuu zawadi ngoda

sita asipojishika na Mungu kupitia kanisa atajishika na nani? rostam na lowasa wameshahonga wajumbe wote wa nec, wamegeuka kuwa wanafiki, hawaoni, hawsikii, wameziba masikio yao kwa nta. kwa hali hii akina sitta wajishike na nani? bila shaka amechagua kilicho bora ni Mungu tu atamtoa hapo alipo atuongoze dhidi ya nyangau rostam, lowasa na mafisadi wenzao.

Mungu aliye mkuu atausambaratisha umoja wao uliopatukana kwa fedha za rushwa, na kamwe akina lowasa hawatashinda kamwe
 
mkuu zawadi ngoda

sita asipojishika na Mungu kupitia kanisa atajishika na nani? rostam na lowasa wameshahonga wajumbe wote wa nec, wamegeuka kuwa wanafiki, hawaoni, hawsikii, wameziba masikio yao kwa nta. kwa hali hii akina sitta wajishike na nani? bila shaka amechagua kilicho bora ni Mungu tu atamtoa hapo alipo atuongoze dhidi ya nyangau rostam, lowasa na mafisadi wenzao.

Mungu aliye mkuu atausambaratisha umoja wao uliopatukana kwa fedha za rushwa, na kamwe akina lowasa hawatashinda kamwe

Niko na wewe mwikimbi, Mungu ni mwisho !! hapo ndio sehemu ya mwisho na mwanzo kukimbilia. maana inavyoonekana mijibaba kibao kwenye c.c.m wamesha hongwa vijisenti vya pilau,basi wamekua upande wa mafisadi kumbe hawatambui kua wananchi wameona picha nzima ilivyokua huko Dodoma.Na kwa mtindo huo hata kama walikua na nia ama hamu ya kuwa viongozi huko mble ni afadhali wasahau kabisaaaaaaa. spika bado kakaa kimya subiri RUNGU atakalo watandika kimya kingi kina mambo !! C.C.M wanamjua ndio maana wameaza kuita waandishi wa habari na kuanza kugeuza maneno ya jinsi ilivyokua dodoma ,kwa kifupi wamechelewa wananchi wako makini na wameshawajua watu ambao wasafi na watu wachafu !! kazi ipo !!!!!!!! haya mzee m-bongo lete habari za TABORA
 
Mliopo bongo jamani rekodini taarifa ya habari ya saa mbili usiku nasikia ITV wataonyesha mapokezi hayo ,tumieni hata hizo simu zenu kurekodi mturushie tuone mambo yalikuaje kwa sisi tuliombali
 
Kosa la Spika Sitta n i kulikumbatia sana kanisa kuliko serikali. Huyu ni mtendaji kazi mzuri, lakini doa lake ni yale mapenzi yake makubwa ya kanisa ndio yatayomuangusha.

Ni vyema achague moja ama kulitumikia Kanisa au Serikali. Na ni lazima aonyeshe sura yake hapa , asituzugezuge akidhani sisi ni watoto wadogo.

Sioni sababu ya Sitta kuukumbatia waraka wa uraia uliotolewa na Katoliki. Ikiwa yeye ndio kiongozi mkuu Bungeni, na Bunge ni chombo kikubwa sana kinachoweza kuikosoa serikali. Halafu leo yeye kama kiongozi atuambie eti serikali imeshindwa kutoa elimu ya uraia, Kichekeshoooo!!!!!!! Basi ni bora ajiuzuru, na aende kule anakofikiri kuwa wanaubavu wa kuwahudumia wananchi. Hapa amechemsha na vita hii hawezi kushinda.

Kimsingi ukilikumbatia klanisa utavuma sana kama nguvu ya Pepsi, lakini mporomoko wake huo baadaye ni sawa na mtu anayeharisha. Hebu muangalieni Raisi wa zamani wa Rwanda Habyarimana. Alilikumbatia kanisa kama vile yeye ndiop Baba Askofu.

Haya Kumekucha!!!!!!!!!

umesema tumekusikia, rudia kusoma tena halafu tafakari halafu utagundua kuwa hujaeleweka na hutaeleweka, wrong avenue!!
 
Back
Top Bottom