Safari ya Sudani Kusini

Ulikua hauna haja ya kukosa.
 
Badala ya kutulingishia vya wazungu, Basi ungetupa na ww story ya huko kwa uzi wako.
 
Mkuu ulichosahau Kampala askari wa barabarani wanaongozea magari kwa filimbi nilitumia hiyo ruti ya mwanza Kampala friends ndo mfalume wa hiyo njia ukiingia Uganda mfalume ni bus za link zina rangi ya kijani zinaenda mikoa yote ya Uganda.
 
Umeishia Juba unasema kuna Amani kuliko ulivokua unasimulia ungetembelea Jonglei,Bentiu,Bor Unity,Heglig,state South Kordofan( iko mpakani na Sudan) bahr el Ghazal huko ungekuja na stori ingine
Hayo ni majina ya miji au species 🤔🤔🤔
 
Mkuu mi nataka niingie kampala. Natakiwa niwe na vitu gani wakikagua pale mpakani?
 
Duh!
 
Sijaona ukizungumzia kile kilichokupeleka huko.

1. Uligundua nini kuhusiana na uhusiano wa wasudani na wamasai?

2. Lengo la kufundisha kiswahili liliishia wapi?

Nimeona tu umetoa maelezo mengi ambayo hayakuwa msingi hasa ya ulichoanz simulia. Historia ya wamasai na kufundisha kiswahili. Zaidi zaidi umekazia tu kuwa umeona watu weusi,warefu,wenye sura za kutisha. Sudani hawana wanachotisha. Nenda Somalia ndo uje usimulie. Ngoja nikupe uzoefu wangu wa Somalia uone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…