CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Ni kwa nini Rutu aliambiwa asitzame nyuma pindi anaondoka mji ule?
Ni kwa sababu Mungu alijua fika kitendo cha kutazama nyuma tu kitafanya Rutu abadilishe mawazo yake ya safari na kuamua kurudi kwenye ule mji.
Safari ya Ujasiriamali ni gumu sana, ni safari ambayo ukiwa na huruma na unao waacha nyuma kamwe hutatobo.
Ukiwa na mapenzi yaliyo pitiliza ya unao waacha nyuma kamwe hutatoboa.
Ukiwa unawaza marafiki zako unao waacha kamwe hutaanza safari.
Ukiwa unawaza viwanja unavyo enda kujirisha kamwe hutatoboa.
Ukiwa unawaza Mfumo wako wa zamani wa maisha kamae hutafika mbali.
Wengi huwa hatuwezi fika popote na safari hii kwa sababu ya kuangalia nyuma.
Watu huwa tunatembea tukiangali nyuma ndo maana hatutoboi.
Kuanza safari kuna vitu vingi lazima uviache.
- Lazima marafiki wako wa viwanja wakukose
- Lazima ndugu zako wakuchukie na wakusema sana.
-Lazima familia yako some time wasikuelewe, watoto na hata mke.
MKE WA RUTU uvumilivu ulimshinda mje wa rutu alikumbuka sana starehe za ule mji, Mali zake kwenye ule mji, marafiki zake wakubwa kwenye ule mji.
Ndugu zake na jamaa.
Mke wa Rutu akaona hawezi maliza safari yake bila kutazama vitu anavyo viacha na vitakavyo teketea akaonelea atazame nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwa sababu Mungu alijua fika kitendo cha kutazama nyuma tu kitafanya Rutu abadilishe mawazo yake ya safari na kuamua kurudi kwenye ule mji.
Safari ya Ujasiriamali ni gumu sana, ni safari ambayo ukiwa na huruma na unao waacha nyuma kamwe hutatobo.
Ukiwa na mapenzi yaliyo pitiliza ya unao waacha nyuma kamwe hutatoboa.
Ukiwa unawaza marafiki zako unao waacha kamwe hutaanza safari.
Ukiwa unawaza viwanja unavyo enda kujirisha kamwe hutatoboa.
Ukiwa unawaza Mfumo wako wa zamani wa maisha kamae hutafika mbali.
Wengi huwa hatuwezi fika popote na safari hii kwa sababu ya kuangalia nyuma.
Watu huwa tunatembea tukiangali nyuma ndo maana hatutoboi.
Kuanza safari kuna vitu vingi lazima uviache.
- Lazima marafiki wako wa viwanja wakukose
- Lazima ndugu zako wakuchukie na wakusema sana.
-Lazima familia yako some time wasikuelewe, watoto na hata mke.
MKE WA RUTU uvumilivu ulimshinda mje wa rutu alikumbuka sana starehe za ule mji, Mali zake kwenye ule mji, marafiki zake wakubwa kwenye ule mji.
Ndugu zake na jamaa.
Mke wa Rutu akaona hawezi maliza safari yake bila kutazama vitu anavyo viacha na vitakavyo teketea akaonelea atazame nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app