Safari ya Wagosi wa Kaya kimuziki

Safari ya Wagosi wa Kaya kimuziki

🤣🤣
Kipindi hiko shule in Sheria Kali lkn unatoroka🙌🙌

Hahaaa Kwa uzee upi ss ulio nao...
Wengi tuliosikiliza nyimbo hizi tuko kati ya 30+....km mkubwa sn labda 40-45

Ubaya sshv nilishahama huo upande , nasikiliza gospel tu Mzee 🤣
Hahaha..........wakati nyimbo hizo zinatoka tayari nilishakuwa na miaka 63 ndiyo maana saivi nimefunga miaka 78 🤪

Wanasema Old is gold

Fanya unipeleke siku moja Mjukuu nami nikumbuke enzi zetu Vijana wa Zamani 🤗
 
Nakumbuka kibao Cha Kuluthumu,

Simfupi simrefu...Kuluthumu mama
Simweupe simweusi...Kuluthumu mama
 
Hahaha..........wakati nyimbo hizo zinatoka tayari nilishakuwa na miaka 63 ndiyo maana saivi nimefunga miaka 78 🤪

Wanasema Old is gold

Fanya unipeleke siku moja Mjukuu nami nikumbuke enzi zetu Vijana wa Zamani 🤗
🙌🙌🤣Shikamooo babu
 
Naanza na nyeti nikirudi na kuruthum mtanishtua...😄😄😄
 
"Dkt john umekosa mtoto wa kiarabu
Au uliongea maneno yasiyokua na Adabu

Aaah mimi nlimwambia tu nmeimba tanga kunani

Haiwezekani, mbona hata mimi nmeimba Tanga kunani, weee inavyoonekana ulileta utani"


Nakumbuka miaka hiyo ya 2003 nipo na daftali langu huku na rekodi mashairi ya nyimbo zao daaah

Wana ile albamu yao imerekodiwa Mj records inaitwa Ukweli mtupu
 
Nakumbuka kibao Cha Kuluthumu,

Simfupi simrefu...Kuluthumu mama
Simweupe simweusi...Kuluthumu mama

Kuna wimbo aliimba Dr John (wagosi wakaya), anamsifia sana demu wake na kumpamba sana. Ndiyo huo 'Kuluthumu'? Huwa nautafuta sana.

-Kaveli-
 
'UPEPO SIYO'

Long live Wagosi Wakaya. Mmeifanyia makubwa sanaa ya mziki wa bongo.

-Kaveli-
 
Traffic, Mpira wa bongo, Umeme na Maji, Walimu, wakamaliza na nyeti. Dr John na Mkoloni walikimbiza aisee
 
Back
Top Bottom