youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
Nyumbani ni nyumban hat a kama kichakani,so hat a kama bongo movie imevunda hana budi kuirudi asili yakeDuuuuh nae wamenyoosha kwa umaarufu wake wote kweli singida hawana masihara wamempa z uso.....muosha nae huoshwaaa na bado watanyooka 2
Nyota ya Wema mwsho MAGAZETI,kwa bungen kaingia cha kikeMimi pia nimeshangaa. Si ndio huyu mwenye nyota au
hhahhaaaw... asante sana mi hata nsipofanikiwa najua ntashukuru MUNGU kwa uthubutu wangu ila 2020 kitaeleweka tuu
Nyota ya Wema mwsho MAGAZETI,kwa bungen kaingia cha kike
Nafikir hata waliopiga hizo kura,Hii ni hot period kwao na watanyooka tuu Hamna jinsiUmaarufu wote huo Kura 90?
Huko ndo ishazima mana kabla ya kukatwa ilikuwa ni kazi ya kupost photo akiwa ametupilia zile jezi za kijan,now ndo hazina soko,labda tusubir wosia wakeNa Insta huko Teh Teh
Mungu akusimamie mwaya, Hongera kwa Wema kura 90 si mchezo, sasa ni wakati wake wa kujipendekeza jimboni kikamilifu 2020 atabadilisha sana matokeo, Ngoja nami nianze 2020 ntasimama nae kama atagombea tena.
Wosia atatoa watu wakishasahau. Bado anaugulia maumivu ya Singida kushukuriwa na 'mdhalilishaji' Diamond.Huko ndo ishazima mana kabla ya kukatwa ilikuwa ni kazi ya kupost photo akiwa ametupilia zile jezi za kijan,now ndo hazina soko,labda tusubir wosia wake
Kumbe ulisema,mmh!! ni jambo jemaila kumwombea njaa jirani yako so good!!Duh, kakatwaaa...nlisema Mimi wanawake hawampitishi.. Kama mijishangingi huko UWT ndo imejaa plus fitna za hatari. Shikamoo CCM...bora angeenda ACT tuu.
Naona SAA ivi anatoa chozi zenye ndimu,now atakuwa anajipanga achomoke VIP,mana hay a yaliyotokea so madogoWosia atatoa watu wakishasahau. Bado anaugulia maumivu ya Singida kushukuriwa na 'mdhalilishaji' Diamond.
Naona SAA ivi anatoa chozi zenye ndimu,now atakuwa anajipanga achomoke VIP,mana hay a yaliyotokea so madogo
Najua SAA I've,anachekechua bongo zake,ajinasue vipi ktk hiki kilio..?!Wosia atatoa watu wakishasahau. Bado anaugulia maumivu ya Singida kushukuriwa na 'mdhalilishaji' Diamond.
Aswaah!!na ni vyema ukajizuia usije ukalia..Hadi huruma
Kumbe ulisema,mmh!! ni jambo jemaila kumwombea njaa jirani yako so good!!
Aswaah!!na ni vyema ukajizuia usije ukalia..
Usiniambie kama na wewe in moja ya wale watakaonyooka ktk kipindi hiki kigumu..in mtazamo tuuNililia Jana baada ya kujua kura alizopata ni nusu ya mtu ambae sio maarufu na hana Nyota kama yeye. Rula ilihusika.
Hahaa. Thubutu! Rula hainihusu,zaidi nasikitika sana vile sikutegemea kama watu watanyooshwa mapema hivi.Usiniambie kama na wewe in moja ya wale watakaonyooka ktk kipindi hiki kigumu..in mtazamo tuu
Ko Wema kaingia choo cha kiume,mwambie aje huku kwetu,kwenye ujumbe wa nyumba10,tutamfikiria japo hata huku kugumNaijua sana UWT, fitna hatari, bado hajakomaa kuweza kuzikabili, wangekuwa wanaume angehonga papuchi, ila ile mijimama ukiihonga pesa inakula, bia zako wanakunywa na kura hawakupiii...Na hivi upepo wa CCM Ulivyogeukaaa...nlijua ATAKATWAA tuuu
Haya bana sawa,kama nawaona walionyooka washakua wembamba kama namba moja(1),habari wanayo,ila in vyema ukakimbilia mzani kucheck vilo,mana unaweza uckonde ila yakatokea engine..Hahaa. Thubutu! Rula hainihusu,zaidi nasikitika sana vile sikutegemea kama watu watanyooshwa mapema hivi.