Safari yangu ya kurejea Bara ni leo. Asante Wazanzibar kwa ukarimu wenu hakika nyie ni watu wa Iman

Safari yangu ya kurejea Bara ni leo. Asante Wazanzibar kwa ukarimu wenu hakika nyie ni watu wa Iman

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Ugeni wangu wa Zanzibar ulifana sana!

Nimeshuhudia mengi na kujifunza mengi sana;

Nimejifunza wazanzibari wengi wanaishi kijamaa sana!

Wazanzibari Wana utaratibu wa kufuatilia wageni kimyakimya kwa kila mgeni anaeonekana mtaani ili kujiridhisha alipofikia na kujua ni mgeni wa nani; Hivyo ni vigumu sana magaidi kujipenyeza Zanzibar wasijulikane!

Pamoja na lafudhi nzuri ya Wazanzibari hususani wanawake! Nimejifunza pia wanawake wa Kizanzibari wanaadabu sana kwa waume zao tofauti na kwetu bara!

Pia, mwanaume wa Kizanzibar kuoa wake wawili au watatu si ajabu sana, lakini Ajabu kubwa ni pale mwanaume anazeeka na mwanamke mmoja!

Kilichonikera zanzibar ni kimoja tu, wanaubaguzi wa kutoa nyapu kwa watu wa bara , bora akaolewe mke wa nne kwa mzanzibar kuliko kuolewa bara!

Hadi leo narudi zangu bara, nimejifunza misamiati mingi sana ya Kiswahili! Ikiwemo matairi wanaita Ma-ring'i, bomba wanaita mfereji, Chepe wanaita Pauro na geti wanaita Jitobo n.k

Niko naelekea zangu kupanda CHOMBO!

Tutakutana kwenye mitaa ya dar kesho Jumatatu InshaAllah!
 
Mkuu thibitisha huu msemo maana kuna uzi ulikuwa unatoa lugha na misamiati inayo tumika uko zanzibar "Konda nitie tobo la pili" et maana yake kwamba Konda nishushe kituo cha tobo la pili ! Vp kuna ukweli apo.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu thibitisha huu msemo maana kuna uzi ulikuwa unatoa lugha na misamiati inayo tumika uko zanzibar " Konda nitie tobo la pili" et maana yake kwamba Konda nishushe kituo cha tobo la pili ! Vp kuna ukweli apo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ngojea chombo kivuke Nungwi ntajajibu
 
Na usichokijua ndoa za mitaala Zanzibar zimesaidia sana kule mambo ya Ukimwi Rate ni ndogo mno

Tofauti na uku mikoa ya kanda ya ziwa, Iko hivi mtu mwenye wake wawili hadi wanne huwa yuko peace sana kiimani na hata Kimwili anaishi kwa Amani akijua wake zake wanafahamiana

Hawezi kuchepuka hovyo maana ratiba ya kulala na wakeze inambana, Tofauti na uku bara mtu kanisani Ameapa kuishi na mke mmoja mpaka Kifo ila hao michepuko sasa?

Kiukweli ndoa za mitaala zinasaidia.
 
Na usichokijua ndoa za mitaala Zanzibar zimesaidia sana kule mambo ya Ukimwi Rate ni ndogo mno

Tofauti na uku mikoa ya kanda ya ziwa, Iko hivi mtu mwenye wake wawili hadi wanne huwa yuko peace sana kiimani na hata Kimwili anaishi kwa Amani akijua wake zake wanafahamiana

Hawezi kuchepuka hovyo maana ratiba ya kulala na wakeze inambana, Tofauti na uku bara mtu kanisani Ameapa kuishi na mke mmoja mpaka Kifo ila hao michepuko sasa?

Kiukweli ndoa za mitaala zinasaidia.
Tatizo liko kwa hao wake hawako tayali kuolewa uke wenza bara, Tofauti na wazanzibari walivyo wanawake wa bara kumuolea mke mwenza ni Mara mia aachike akawe kahaba mtaani kuliko akubali uke wenza!
Wanawake wa bara kiboko
 
Tatizo liko kwa hao wake hawako tayali kuolewa uke wenza bara, Mara mia aachike akawe kahaba mtaani kuliko kukubali uke wenza!
Wanawake wa bara kiboko
Mkuu si kweli, Muda uliotumia kuwa zanzibar ni mdogo. Wanawake wa kule wanatabia ya kumsoma mgeni kwa muda mpaka wakuzoee tena ingekuwa rahisi zaidi kama una jamaa zako ni wenyeji wa kule wanakuungishaa italeta kuaminiwa kwenye familia ya bint

Otherwise uniambie tu hukuwa na nia Mkuu ulitaka kupiga na kusepa
 
Mkuu si kweli, Muda uliotumia kuwa zanzibar ni mdogo. Wanawake wa kule wanatabia ya kumsoma mgeni kwa muda mpaka wakuzoee tena ingekuwa rahisi zaidi kama una jamaa zako ni wenyeji wa kule wanakuungishaa italeta kuaminiwa kwenye familia ya bint

Otherwise uniambie tu hukuwa na nia Mkuu ulitaka kupiga na kusepa
Sikwenda kuchumbia kule, nilikwenda kutaliii
 
Hiyo yote sababu ya mafundisho ya dini ya Kiislamu. Ukitaka kuujua ukweli zaidi iingi kwenye histori ya ukweli ya dini ya Kiislamu utakutana na upendo zaidi ya huo
Hayo mafundisho ni ya wake wakizanzibar tu ...? Au mafundisho yanatofautiana kutokana na kanda
 
Mkuu si kweli, Muda uliotumia kuwa zanzibar ni mdogo. Wanawake wa kule wanatabia ya kumsoma mgeni kwa muda mpaka wakuzoee tena ingekuwa rahisi zaidi kama una jamaa zako ni wenyeji wa kule wanakuungishaa italeta kuaminiwa kwenye familia ya bint

Otherwise uniambie tu hukuwa na nia Mkuu ulitaka kupiga na kusepa
Sasa wewe ulifikiri alienda kuoa?. Kuna kuoa siku hizi?. Yeye alitaka nyap ya kupigapo pigapo
 
Mkuu thibitisha huu msemo maana kuna uzi ulikuwa unatoa lugha na misamiati inayo tumika uko zanzibar "Konda nitie tobo la pili" et maana yake kwamba Konda nishushe kituo cha tobo la pili ! Vp kuna ukweli apo.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Asante kwa kuja Zanzibar. Ujio wako umeacha huzuni kubwa visiwani. Allah akuongoze njia iliyonyooka.
 
Back
Top Bottom