financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ewaa uko sahihi kabisa, afu naskia huko kambini ulikua nanga wa demo mkuu full kukaba "C"[emoji3]H
Hahahaaaaaa, bila Shaka na wewe ni service girl
Siku si nyingi itakuja
Hahahaaaaaaaa, nimelala polini sana, narejea hangani asubuhiEwaa uko sahihi kabisa, afu naskia huko kambini ulikua nanga wa demo mkuu full kukaba "C"[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa, sitosahau nilivokaba kitengo cha saidia fundi kufyatua tofali ,ilikua raha sana full tano, kulala mapemaaHahahaaaaaaaa, nimelala polini sana, narejea hangani asubuhi
Hahahaaaaaa,Hahaa, sitosahau nilivokaba kitengo cha saidia fundi kufyatua tofali ,ilikua raha sana full tano, kulala mapemaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgambo 835KJ,halafu nikakatwa bogi kwenda CHITA JKT,welldone jkt nimetoka nimewiva mno,na faida zake naziona nikianza safari ni mbele tu ,nyuma sirudi hata kama nimebakiwa na 1usd mmmm COL.MTONO NA LT.COL.SANGA(chita jkt),ahasanteeni sana.Uwiiiiiiiih Mambo ya jkt haya khaaaaaah, sitak kukumbuka pale kabuku (Mgambo - Tanga)
Sent using Jamii Forums mobile app
Jini wa jf aliyeambatana na mgeni (Corona) uwiiiiiiiiiiUnacheka saa saba ya usku za sahivi ..utashtua watu wazani kuna jini
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaaaaaaHadithi nzuri hii,ngoja tuone mwisho wake,maana isije kuwa kula tunda kimasihara.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hongera Sana usisahau kwenye michungwaaaaa lolMgambo 835KJ,halafu nikakatwa bogi kwenda CHITA JKT,welldone jkt nimetoka nimewiva mno,na faida zake naziona nikianza safari ni mbele tu ,nyuma sirudi hata kama nimebakiwa na 1usd mmmm COL.MTONO NA LT.COL.SANGA(chita jkt),ahasanteeni sana.
Ndio hivyo yaani, mambo ya kuanza kujila tena ndio mwanzo wa kufia jeshini
Mkuu umejuaje,