LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Habari zenu humu ngoja Leo niwape kastory kafupi
Nakumbuka nikiwa naishi maisha ya homeless siku hiyo nikiwa pale kigamboni kwenye boti za uvuvi, upande wa chuo cha mwalimu Nyerere memorial
Muda wa saa 9 jioni nikachukua baiskel yangu na kuamua kwenda kutembea Mji mwema
Nikafika na kuanza kutafuta namna ya kutokea ufukweni, lakini Kila njia niliyoifuata nilikutana na maandishi yaliyosomeka FAMILY BEACH nilijaribu zaidi ya njia tatu zenye urefu wa zaidi ya 1km Hadi nikakata tamaa,
Nikaamua kurudi zangu Sasa nikaamua kupitia shortkat kosa nililofanya ni kufuata jua, baadae nikakutana na njia ya lami inashuka nikaamua kuteremka nayo, nilikuja kujua kuwa nimepotea baada ya Kuona Yale maghorofa pacha pale posta kwa mbalisana yakiwa kama kwenye Moshi Moshi hivi, hapo nikaamua kuyafuata kwa kunyokea huku nakokota baiskeli muda huo ni saa1 inaelekea hivi kwani baiskel ilipata pancha,
Nilijikuta nimetokea kongowe mpaka nafika daraja la reli pale sijui ndo mto ngani nikaamua kutembea na reli mpaka nikajikuta nipo katikati ya makontena na matanki ya mafuta pale bandarini, muda huo inaelekea saa4 usiku nikatokea eneo Moja ambalo nilizunguka kama saa nzima, kwani Kila njia niliyoifuata isiponipeleka chooni basi itanipeleka nyumba ya mtu au inakuwa na mwisho,
Basi bhana nikafanikiwa kutoka mpaka saatano hivi nikafika kivukoni nilikuwa na buku tu mfukoni nikanywa juisi ya 500 iliyobakia nikavuka upande wa pili nikaenda boti Moja mbovu nikaficha baiskeli kwa kuifukia kwenye nyavu na mm nikajikunja na usingizi ukanipitia mpaka kukakucha nikaamka na kupeleka usafiri wangu kwa mtu ambaye hunitunzia tuamoyo.
Nakumbuka nikiwa naishi maisha ya homeless siku hiyo nikiwa pale kigamboni kwenye boti za uvuvi, upande wa chuo cha mwalimu Nyerere memorial
Muda wa saa 9 jioni nikachukua baiskel yangu na kuamua kwenda kutembea Mji mwema
Nikafika na kuanza kutafuta namna ya kutokea ufukweni, lakini Kila njia niliyoifuata nilikutana na maandishi yaliyosomeka FAMILY BEACH nilijaribu zaidi ya njia tatu zenye urefu wa zaidi ya 1km Hadi nikakata tamaa,
Nikaamua kurudi zangu Sasa nikaamua kupitia shortkat kosa nililofanya ni kufuata jua, baadae nikakutana na njia ya lami inashuka nikaamua kuteremka nayo, nilikuja kujua kuwa nimepotea baada ya Kuona Yale maghorofa pacha pale posta kwa mbalisana yakiwa kama kwenye Moshi Moshi hivi, hapo nikaamua kuyafuata kwa kunyokea huku nakokota baiskeli muda huo ni saa1 inaelekea hivi kwani baiskel ilipata pancha,
Nilijikuta nimetokea kongowe mpaka nafika daraja la reli pale sijui ndo mto ngani nikaamua kutembea na reli mpaka nikajikuta nipo katikati ya makontena na matanki ya mafuta pale bandarini, muda huo inaelekea saa4 usiku nikatokea eneo Moja ambalo nilizunguka kama saa nzima, kwani Kila njia niliyoifuata isiponipeleka chooni basi itanipeleka nyumba ya mtu au inakuwa na mwisho,
Basi bhana nikafanikiwa kutoka mpaka saatano hivi nikafika kivukoni nilikuwa na buku tu mfukoni nikanywa juisi ya 500 iliyobakia nikavuka upande wa pili nikaenda boti Moja mbovu nikaficha baiskeli kwa kuifukia kwenye nyavu na mm nikajikunja na usingizi ukanipitia mpaka kukakucha nikaamka na kupeleka usafiri wangu kwa mtu ambaye hunitunzia tuamoyo.