Safari yangu ya "No Fap" imeisha leo siku ya 9, nimeambulia "F", nimeteleza kwa binti ambae sijawahi kuvutiwa naye

Safari yangu ya "No Fap" imeisha leo siku ya 9, nimeambulia "F", nimeteleza kwa binti ambae sijawahi kuvutiwa naye

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
"Post mshindo clarity" ni ile hali akili inapotulia ikiwa haina tena wenge la tamaa za mwili baada ya kupiga mshindo au mishindo ya kuzimaliza hamu ya ngono, leo kilichonipata duhh!

Binafsi nilikuwa na kibubu cha siku tisa nilikuwa nafanya ishu flani inaitwa "No Fap", soma uzi wangu >> huu << .

Hiki kibubu cha siku 9 kimenipa hamu ya ajabu, sasa kuna binti flani huwa ananielewa sana japo mimi sijawai kumkubali, ni sura ya baba ila shape imo.

kwa ugwadu nilionao nilijikuta leo namuomba namba ya simu asubuhi na nikaanza kumuimbisha, nikamwomba mechi wala haikuwa shida. Mtoto alinielewa kiasi kwamba alikubali kuwahi kufunga leo saa 11 jioni, siku nyingine huwa kazoea kufunga saa 1.

Nilimpitia tukaenda lodge fulani, ile kamaliza kuoga nikambeba nikamtoa taulo, nika vaa helmet paah paa paa, yani hata haikuwa kitandani. Ilikuwa kashikilia kitasa cha mlango wa kuingia bafuni, dakika 2 tu wazungu fasta, maana si kwa kibubu kile.

Nikaingia bafuni kunawa fasta, nikarudi nikaunganisha, mchaka mchaka chinja, wala sikuwa romantic hapa nilikuwa kama nalipiza kisasi cha kufidia maumivu ya uchu ulionitesa siku 8. Raundi ya pili nilizoea kwenda dakika 12 ila leo nimeenda kama 20 hivi.

Siyo mazoea yangu kwenda ya tatu, ila leo nimeenda huku nikiwa na hamu nzito. Baada ya kumaliza ya pili nilitulia kwa dakika 30 hivi nikachukua mpira wa mwisho wa kondom. Muda huu kidogo nilikuwa romantic maana kibubu kilianza kupungua, akili na utimamamu ulianza kuwa kawaida. Nilipiga jaramba hapo kwa takribani dakika 40.

Baada ya goli hizi tatu nikaanza kumuona ni yule yule ambaye sijawahi kumkubali. Kwa sasa kwenye WhatsApp kaniganda hadi siyo poa, ila natamani nimwambie tu ukweli nilikua na kibubu.
 
Baddest 47: Unamwambia slay queen alinde kitobo, unaota.?
 
Watu kweli mnajiendekeza siku 9 tu unapata tabu duu. Mimi nakaa hata mwezi n niko good tu kwa mwezi nachakata papuchi mara 2 tu sio zaidi ya hapo sometimes mara moja tu.
 
"Post mshindo clarity" ni ile hali akili inapotulia ikiwa haina tena wenge la tamaa za mwili baada ya kupiga mshindo au mishindo ya kuzimaliza hamu ya ngono, leo kilichonipata duhh!

Binafsi nilikuwa na kibubu cha siku tisa nilikuwa nafanya ishu flani inaitwa "No Fap", soma uzi wangu >> huu << .

Hiki kibubu cha siku 9 kimenipa hamu ya ajabu, sasa kuna binti flani huwa ananielewa sana japo mimi sijawai kumkubali, ni sura ya baba ila shape imo.

kwa ugwadu nilionao nilijikuta leo namuomba namba ya simu asubuhi na nikaanza kumuimbisha, nikamwomba mechi wala haikuwa shida. Mtoto alinielewa kiasi kwamba alikubali kuwahi kufunga leo saa 11 jioni, siku nyingine huwa kazoea kufunga saa 1.

Nilimpitia tukaenda lodge fulani, ile kamaliza kuoga nikambeba nikamtoa taulo, nika vaa helmet paah paa paa, yani hata haikuwa kitandani. Ilikuwa kashikilia kitasa cha mlango wa kuingia bafuni, dakika 2 tu wazungu fasta, maana si kwa kibubu kile.

Nikaingia bafuni kunawa fasta, nikarudi nikaunganisha, mchaka mchaka chinja, wala sikuwa romantic hapa nilikuwa kama nalipiza kisasi cha kufidia maumivu ya uchu ulionitesa siku 8. Raundi ya pili nilizoea kwenda dakika 12 ila leo nimeenda kama 20 hivi.

Siyo mazoea yangu kwenda ya tatu, ila leo nimeenda huku nikiwa na hamu nzito. Baada ya kumaliza ya pili nilitulia kwa dakika 30 hivi nikachukua mpira wa mwisho wa kondom. Muda huu kidogo nilikuwa romantic maana kibubu kilianza kupungua, akili na utimamamu ulianza kuwa kawaida. Nilipiga jaramba hapo kwa takribani dakika 40.

Baada ya goli hizi tatu nikaanza kumuona ni yule yule ambaye sijawahi kumkubali. Kwa sasa kwenye WhatsApp kaniganda hadi siyo poa, ila natamani nimwambie tu ukweli nilikua na kibubu.
Hahaha
 
Back
Top Bottom