Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekupa vitu ndio usafiriHabar za mudahuu ndugu zangu,..nipo safarini from dar to Arusha na bus la BM T817 DY.. ila safar naiona imepoa mnooo,..Mana hapa nimekaa na Bibi mtu mzima..amelala tangu mwanzo wa Safari pale shekilango had Sasa tupo mkata....
Kiukweli ni full michosho,..TV zao nazo hazieleweki zinapga nyimbo za kidwanz balaaa...no usingiz no vaibu..inshort next tym sitorudia makosa...
Kaz iendelee ,..
Eh nawewe uwe unavutia wanawake sio sura iwe mbaya na demu awe mkaliNiwe mkali,..Tena ...
Bibi wa watu kakukosa nini unamzungumzia hapa?Habari za muda huu ndugu zangu,
Nipo safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha na basi la BM T817 DY. Safari inaonekana kuwa ya kawaida sana, maana hapa nimekaa na bibi mtu mzima ambaye amelala tangu mwanzo wa safari pale Shekilango hadi sasa tupo Mkata.
Kiukweli, ni full michosho. TV zao nazo hazieleweki, zinapiga nyimbo za kidwanzi balaaa. Hakuna usingizi, hakuna vibe. Kwa ufupi, safari ijayo sitarudia makosa haya.
Kazi iendelee, mitano tena kwa mama...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akianza kukoroma ulete updates tusogeze VAR za Azam