Safaricom shares hit ksh 1.4 trillion market capitalisation

Safaricom shares hit ksh 1.4 trillion market capitalisation

ni afadhali kupumbaa katika uzalendo,niambie ukabila umekufanya nini wewe!!!

rejea swali langu,tatizo unatumia nguvu kubwa kujibu swali jepesi tu,sijui hujaelewa swali???

nimeuliza,ipi faida ya safaricom kuzizidi thamani kampuni zote za bongo kwenye soko la hisa!!!unaruka kama popcorn.
tunarudi pale pale kwenye thamani na nguvu ya pesa,sawa nicxie???
It's just a polite reminder that uchumi wetu ni ya "makaratasi" happy now? 😂
 
Mbona hii habari ya Safaricom kutandika kampuni zenu zote za DSE imekuuma sana?
wewe ndio unasema nimeumia,wakati kimsingi unazidi kuivua nguo jubilee[emoji38][emoji38].
 
US inaweza kusanction Safaricom ikiwa Safaricom itatumia Huawei.
Hahah yani US waiwekee vikwazo safaricom kisa kujiunga na 5G ya Huawei? Kwanini sasa? How can they have that mandate? Under what circumstances...

Wewe unajua kuliko mr. Ndegwa? The thing ni kwamba 5G ni very expensive..you can't afford it at the moment. Pili most of your internet users wanatumia 2G na 3G technology. Hiyo 5G mnamuwekea nani wakati hata 4G tu ni watu wachache mno?

Unajua kwa nini hao safaricom wamepunguza gharama za kutuma pesa tu nearly 90%? The company financial balance is at bad shape..
 
Hahah yani US waiwekee vikwazo safaricom kisa kujiunga na 5G ya Huawei? Kwanini sasa? How can they have that mandate? Under what circumstances...

Wewe unajua kuliko mr. Ndegwa? The thing ni kwamba 5G ni very expensive..you can't afford it at the moment. Pili most of your internet users wanatumia 2G na 3G technology. Hiyo 5G mnamuwekea nani wakati hata 4G tu ni watu wachache mno?

Unajua kwa nini hao safaricom wamepunguza gharama za kutuma pesa tu nearly 90%? The company financial balance is at bad shape..
Wewe ni wazimu hata sina time na huu upuuzi wako.
 
Si nyinyi ndio huwa mnasema uchumi wetu ni wa kwenye makaratasi? Sasa itakuwaje kampuni yetu moja ni kubwa kushinda Dar es Salaam stock exchange?

A private equity company. Tell me how many people benefit from the dividend of Safaricom.
 
Hahah yani US waiwekee vikwazo safaricom kisa kujiunga na 5G ya Huawei? Kwanini sasa? How can they have that mandate? Under what circumstances...

Wewe unajua kuliko mr. Ndegwa? The thing ni kwamba 5G ni very expensive..you can't afford it at the moment. Pili most of your internet users wanatumia 2G na 3G technology. Hiyo 5G mnamuwekea nani wakati hata 4G tu ni watu wachache mno?

Unajua kwa nini hao safaricom wamepunguza gharama za kutuma pesa tu nearly 90%? The company financial balance is at bad shape..
4g yenyewe bado inahitaji kuenezwa zaidi ya kuanza kufikiria 5g.

wenzetu wana install kwa ajiri ya matumizi mhimu zaidi,watu wengine wanawaza internet pekee[emoji41][emoji41]
 
Wewe ni wazimu hata sina time na huu upuuzi wako.
Wakora wa jalalani mnajua lugha za hovyo hovyo tu na matusi maana mmekulia mazingira ya ushenzini.

Hamuwezi kuwa na mjadala wenye maana na kuwa na facts za kueleweka. Maneno matupu tu.. bure kabisa.
 
4g yenyewe bado inahitaji kuenezwa zaidi ya kuanza kufikiria 5g.

wenzetu wana install kwa ajiri ya matumizi mhimu zaidi,watu wengine wanawaza internet pekee[emoji41][emoji41]
Ndio hapo sasa mkuu, yani walitaka 5G kwa ajili ya kupost Twitter na FB. Halafu population yao inayotumia internet ni ndogo sana na ni 2G na 3G..installation ya 5G wataiwezea wapi? Sema wamezoea kuwa na project zisizokuwa na faida na zinawacost pesa nyingi. Hiyo safaricom ingekuwa ni ya wakenya wangefunga hiyo 5G. Ila kwa kuwa ni biashara private yenye wanahisa wa London huko ndio wakapinga hiyo kitu. Ila walishakuwa tayari kuingizwa kingi

Wakati wengine wanapambania 5G kwa mambo ya kiulinzi zaidi..
 
Ndio hapo sasa mkuu, yani walitaka 5G kwa ajili ya kupost Twitter na FB. Halafu population yao inayotumia internet ni ndogo sana na ni 2G na 3G..installation ya 5G wataiwezea wapi? Sema wamezoea kuwa na project zisizokuwa na faida na zinawacost pesa nyingi. Hiyo safaricom ingekuwa ni ya wakenya wangefunga hiyo 5G. Ila kwa kuwa ni biashara private yenye wanahisa wa London huko ndio wakapinga hiyo kitu. Ila walishakuwa tayari kuingizwa kingi

Wakati wengine wanapambania 5G kwa mambo ya kiulinzi zaidi..
mtu anashangilia tu eti maendeleo ukimuuliza kwa vipi yanakugusa wewe hajui[emoji23].

hawa ni wazee wa big white elephant,usiwashangae.
 
mtu anashangilia tu eti maendeleo ukimuuliza kwa vipi yanakugusa wewe hajui[emoji23].

hawa ni wazee wa big white elephant,usiwashangae.
Ndio hapo sasa mkuu, yani walitaka 5G kwa ajili ya kupost Twitter na FB. Halafu population yao inayotumia internet ni ndogo sana na ni 2G na 3G..installation ya 5G wataiwezea wapi? Sema wamezoea kuwa na project zisizokuwa na faida na zinawacost pesa nyingi. Hiyo safaricom ingekuwa ni ya wakenya wangefunga hiyo 5G. Ila kwa kuwa ni biashara private yenye wanahisa wa London huko ndio wakapinga hiyo kitu. Ila walishakuwa tayari kuingizwa kingi

Wakati wengine wanapambania 5G kwa mambo ya kiulinzi zaidi..
Naona safaricom imewatoa povu sana leo. Nafurahi kusoma povu yenu. GoK inamiliki 35% ya Safaricom. Halafu 25% ya Safaricom inamilikiwa na umma (free-float shares) ikiwemo thousands of Kenyans.

Cc Geza Ulole

Screenshot_20210107-211602.jpg
 
Wakora wa jalalani mnajua lugha za hovyo hovyo tu na matusi maana mmekulia mazingira ya ushenzini.

Hamuwezi kuwa na mjadala wenye maana na kuwa na facts za kueleweka. Maneno matupu tu.. bure kabisa.
Sasa weye kajamba fulani wa hapo matopeni tanganyika leo umejitwika ukurugenzi wa SAFARICOM?....hahhhah, takataka....eti facts.
potelea mbali.
 
Tunastahili kuconfirm kama hii imformation ni accurate. Nitalifanyia research.
Bado hujamaliza research? Tena mmefikia dollar billion 4 sababu ya covid-19 restrictions, at your normal rate ni 3 billion dollars, Tanzania tupo 5 billion without covid-19 restrictions

Bado mpo nyuma mno kwenye haya mambo, safaricom inaonekana kupata mapato makubwa sababu wanawapiga kichizi very expensive service than any other provider in Africa 😅😅😅

Mlivyo mazuzu mnachekelea utafikiri shirika la baba zenu!
 
Sasa weye kajamba fulani wa hapo matopeni tanganyika leo umejitwika ukurugenzi wa SAFARICOM?....hahhhah, takataka....eti facts.
potelea mbali.
Haya sasa wewe nyang'au niambie kwa nini hamjajiunga 5G ya Huawei
 
Back
Top Bottom