Nakuelewa sana unachomaanisha na it's a matter of time within next six months itakuwepo hiyo huduma. Look out for Selcom with a similar product using Selcom cards via Mastercard. Also I see Tigo doing that aside Vodacom.
Nimeona tigo wamefanya kitu nimefurahi, i think nlikuwa kwenye website ya kikuu nikijaribu, nikaona straight forward unaweza kulipia bidhaa kupitia tigopesa hapo hapo bila ya kuchukua simu na kuingiza namba ya kampuni. Merchant anapokea hela yake direct bila ya wasi. This is kind of tech Tanzania needs to boost our economics, kuna alot of opportunities ila regulations zipo tight.
Halafu sio paypal tu ambae huwezi kupata hela zako Tanzania wapo na wengine kama Authorize.net
Nilikuwa na project yangu, although nimelack pesa, lakini kilichonikata maini ni kutokuwa na system ambayo itawezesha kupokea pesa kutoka nje kuja Tanzania, nilikwenda hadi CRDB nikaambiwa not possible.
Selcom wajiongeze, wawe na wao an option to receive international money. Yaani we need a payment processor to enable us to do international business online. Kama wapo njiani ni vizuri.