Tetesi: Safe za mabenk au vyumba vya kuwekea hela viko sehemu gani kwenye mabenki na je ramani za vyumba vya pesa kwenye mabenki zinafanana kama vituo vya afy

Umeandika vyema kabisa ila access ya strong room na ATM ni watu wawili. Hii ni kupunguza uwezekano wa kutokea wizi kirahisi, so mtu mmoja hawezi fungua na kuingia kwa vault (labda huyo mwenzake amuamini na kumpa access) mahali ilipo strong room sio siri kwa watumishi wa benki kwani bila access ya kupitia mlangoni ni ngumu sana kuingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…