1. Hizo huitwa Strong room... Ni zege mwanzo mwisho ( pande zote yaani sakafu, Ceiling, na kuta zote). Na ratio ya zege lake + unene ni mkubwa ili kuchelewesha tukio la kivamizi endapo mtu anataka kuvamia. Inatakiwa atleast 48 hrs liweze kuhimili. Humo pia huwekwa sensitive informations ambazo hata moto ukitokea bank zinakuwa safe.
2. Ramani hazifanani. Hii inatokana na falsafa ya kila bank katika kutoa huduma. I mean functions zao ni tofauti.
3. Kwenye banks kuna front activities na back activities. Manager anatakiwa kuona kila kitu pale bank. Km kuna changamoto imetokea yy ni rahisi kuchukua hatua.
NB: Strong room huwezi kupata access ya kupaona. Na ujue tu kuwa hata askari unaowaona bank hawapo responsible na wizi wa ndani kwa maana hawailindi hiyo strongroom na wala hawajui location yake. Access ya huko anakuwa anajua mtu mmoja tu.
Sent using
Jamii Forums mobile app