Tetesi: Safe za mabenk au vyumba vya kuwekea hela viko sehemu gani kwenye mabenki na je ramani za vyumba vya pesa kwenye mabenki zinafanana kama vituo vya afy

Tetesi: Safe za mabenk au vyumba vya kuwekea hela viko sehemu gani kwenye mabenki na je ramani za vyumba vya pesa kwenye mabenki zinafanana kama vituo vya afy

Naomba kujua
1.Safe za hela zinafananaje picha plz
2.Ramani za mabenki zinafanana Kama zinavyofanana zahanati za afya na nyumba za walimu
3.mbona bank manager hajifichi anaonekana wazi
4.Sare wanazovaa wafanyakazi wa bank huwa wanaambiana?
5.Vaults zinafananaje
6.Naweza kutembelea ghala la hela bank kuu Kama ninavyotembelea mikumi au selou kwa utaratibu
7.Bank kuu wanalinda komando au ffu

Itakuwa safi nikipata majibu

Information unazo ziulizia. Ni highly sensitive.
Mtu wa kawaida hatakiwi kuwa nazo.

-picha za safe zipo hata google. Unawezs zipata
- raman za mabenki hazifanani
- bank manager si cheo cha kujificha. Watu watahitaj huduma zake na lazima awepo

4,5,6,7 ni highly classified documents. Kama raia wa kawaida hutakiwi kuzifaham.
Unless uko kwenye law enforcement forces.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Information unazo ziulizia. Ni highly sensitive.
Mtu wa kawaida hatakiwi kuwa nazo.

-picha za safe zipo hata google. Unawezs zipata
- raman za mabenki hazifanani
- bank manager si cheo cha kujificha. Watu watahitaj huduma zake na lazima awepo

4,5,6,7 ni highly classified documents. Kama raia wa kawaida hutakiwi kuzifaham.
Unless uko kwenye law enforcement forces.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umejibu kiweledi mkuu

Roger that!
 
mawazo ya popoma White House ya Trump mpk ramani ya chumba anacholala IPO google we shule ulienda kufundishwa ujinga?
Usiamini sana Google, mtandaoni Kuna taarifa zile tu ambazo wahusika wanataka ujue, wenyewe wanaita a tip of iceberg. By the way, hata trump hajui ramani halisi ya white house.

Think deep and critically

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha wewe Hapana hata humu jf huaminiki

Ha ha haaaaaa
Mie mdau wa humu sasa huniamini kisa!!..
Kwani ujuzi wa hayo si hata gugo unayapata ujisomee na kuona..
Labda ningekueleza ya kizaidi.. uyajue tu..😊
 
Naomba kujua
1.Safe za hela zinafananaje picha plz
2.Ramani za mabenki zinafanana Kama zinavyofanana zahanati za afya na nyumba za walimu
3.mbona bank manager hajifichi anaonekana wazi
4.Sare wanazovaa wafanyakazi wa bank huwa wanaambiana?
5.Vaults zinafananaje
6.Naweza kutembelea ghala la hela bank kuu Kama ninavyotembelea mikumi au selou kwa utaratibu
7.Bank kuu wanalinda komando au ffu

Itakuwa safi nikipata majibu
Jibu huwezi pata we nenda kavamie uone cha mtema
 
White house inakuwa improved every year. Wapi kinakaa nini na vipi hutakaa ujue.
Hata hivyo kwenye masuala ya ulinzi gov huwa waachia document ambazo hazina madhara kwao. Hiyo raman ni ya zamani. Muundo wa zaman.. ila kwa ndani ni habari nyingine.
mawazo ya popoma White House ya Trump mpk ramani ya chumba anacholala IPO google we shule ulienda kufundishwa ujinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Hizo huitwa Strong room... Ni zege mwanzo mwisho ( pande zote yaani sakafu, Ceiling, na kuta zote). Na ratio ya zege lake + unene ni mkubwa ili kuchelewesha tukio la kivamizi endapo mtu anataka kuvamia. Inatakiwa atleast 48 hrs liweze kuhimili. Humo pia huwekwa sensitive informations ambazo hata moto ukitokea bank zinakuwa safe.
2. Ramani hazifanani. Hii inatokana na falsafa ya kila bank katika kutoa huduma. I mean functions zao ni tofauti.
3. Kwenye banks kuna front activities na back activities. Manager anatakiwa kuona kila kitu pale bank. Km kuna changamoto imetokea yy ni rahisi kuchukua hatua.

NB: Strong room huwezi kupata access ya kupaona. Na ujue tu kuwa hata askari unaowaona bank hawapo responsible na wizi wa ndani kwa maana hawailindi hiyo strongroom na wala hawajui location yake. Access ya huko anakuwa anajua mtu mmoja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Hizo huitwa Strong room... Ni zege mwanzo mwisho ( pande zote yaani sakafu, Ceiling, na kuta zote). Na ratio ya zege lake + unene ni mkubwa ili kuchelewesha tukio la kivamizi endapo mtu anataka kuvamia. Inatakiwa atleast 48 hrs liweze kuhimili. Humo pia huwekwa sensitive informations ambazo hata moto ukitokea bank zinakuwa safe.
2. Ramani hazifanani. Hii inatokana na falsafa ya kila bank katika kutoa huduma. I mean functions zao ni tofauti.
3. Kwenye banks kuna front activities na back activities. Manager anatakiwa kuona kila kitu pale bank. Km kuna changamoto imetokea yy ni rahisi kuchukua hatua.

NB: Strong room huwezi kupata access ya kupaona. Na ujue tu kuwa hata askari unaowaona bank hawapo responsible na wizi wa ndani kwa maana hawailindi hiyo strongroom na wala hawajui location yake. Access ya huko anakuwa anajua mtu mmoja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lait Kama wanna jf wote tungekuwa hivi ingependeza Sana jibu fupi on point Na lisilo na madhara kwa taasisi zetu ni swala la ufahamu tu asante mkuu
 
Back
Top Bottom