INAUZWA Safety boot on sale

Hazchem plate

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
11,048
Reaction score
15,465
*SAFETY BOOT ON SALE*
Nauza Safety boot aina ya Safety jogger. Namba 42 au 8. Ni heavy duty pia ni Oil resistant antislip. Ina chuma mbele. Ni mpya kabisa na box lake haijawai valiwa. Ina muonekano wa kibabe sana. Sometimes unaweza toka nayo kwa mitoko ya kibabe. Bei ni 60K. Pia kama una kiatu cha thaman hiyo tunaweza exchange lakini mpaka nikipende. Kiwe namba 43 au 44 sio mbaya..

Zipo pair 2
 
Mkuu hizi boot zidhani kama ni za kutokea mtoko,
Mara nyingi nazionaga kwa wafanyakazi wale wanaofanya manual/casual works. Mara nyingi huvaliwa na overall na kofia ngumu.
 
Ukipiga na jeans unatoka tu. Kama mtu anatoka peku itakua hizi boot [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu hizi boot zidhani kama ni za kutokea mtoko,
Mara nyingi nazionaga kwa wafanyakazi wale wanaofanya manual/casual works. Mara nyingi huvaliwa na overall na kofia ngumu.
 
Mkuu hizi boot zidhani kama ni za kutokea mtoko,
Mara nyingi nazionaga kwa wafanyakazi wale wanaofanya manual/casual works. Mara nyingi huvaliwa na overall na kofia ngumu.
Wengine wanatokea mitoko hizo,hao hao mafundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…