Safi sana Mh. Try Again (Salim Muhene)

Safi sana Mh. Try Again (Salim Muhene)

curie

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2020
Posts
699
Reaction score
1,600
Wanasimba tunataka mambo ya kisomi zaidi.

Screenshot_20230208-085330_Twitter.jpg
Screenshot_20230208-085330_Twitter.jpg

View attachment 2510036View attachment 2510037
 
Alichaguliwa yeye peke yake ama ali apply yeye peke yake kwa Africa Masharik?
IMG_20230208_100719.jpg
 
Punguza maumivu kwa kunywa panadol masharili ni ndio nini
Sawa ila ujumbe umefika. Yeyote yule anaruhusiwa ku apply kigezo ni hivyo viwili tu uwe ni C.E.O wa club na uwe na muda wa kutosha kushiriki course hadi mwisho.
 
Sawa ila ujumbe umefika. Yeyote yule anaruhusiwa ku apply kigezo ni hivyo viwili tu uwe ni C.E.O wa club na uwe na muda wa kutosha kushiriki course hadi mwisho.
Inawezekana kuna wengine hapa hapa Nchini wali apply na wakakataliwa kwa kukosa vigezo.
 
Hiyo ni program unayo chaguliwa, ndo maana wamesema lazima mtu awe available
Kuchaguliwa na kigezo cha kuwa available kunahusiana vipi? Umesoma sentensi yote ukaielewa?
 
Back
Top Bottom