Safi Sana Mzee Makamba!

Safi Sana Mzee Makamba!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Hivyo ndivyo yanavyopaswa kujibiwa maswali ya kipashkuna,

Hivyo ndivyo anavyopaswa kujibiwa mwandishi anayesukumwa na wambea wa mitandaoni, a.k.a haters badala ya utaalamu wa taaluma yake.

Hivyo ndivyo wanavyapswa kujibiwa haters wa makamba wote waliopo humu mitandaoni ambao masikio yaliwasimama 'deeeee' kusikilizia jinsi litakavyojibiwa swali lao lililowakilishwa na mburura wao.

Matatizo yapo mengi sana kwa sasa, kulikuwa na haja gani ya kukuliza wewe moja kwa moja swali ambalo linaweza kudhaniwa kuwa una maslahi nalo sababu ya uongozi wa mtoto wako?

Kwanini asingekuuliza habari za mfumuko wa bei, maji, njaa, ukame n.k kama sio walilenga kukuweka kwenye target yao ovu tu?!!

Safi sana mzee kwa kuwatwanga bonge la ndoige! Sasa wapo mitandaoni wanahaha tu wakijitahidi kuendelea kuzusha hili na lile.
 
Hivyo ndivyo yanavyopaswa kujibiwa maswali ya kipashkuna,

Hivyo ndivyo anavyopaswa kujibiwa mwandishi anayesukumwa na wambea wa mitandaoni, a.k.a haters badala ya utaalamu wa taaluma yake.

Hivyo ndivyo wanavyapswa kujibiwa haters wa makamba wote waliopo humu mitandaoni ambao masikio yaliwasimama 'deeeee' kusikilizia jinsi litakavyojibiwa swali lao lililowakilishwa na mburura wao.

Matatizo yapo mengi sana kwa sasa, kulikuwa na haja gani ya kukuliza wewe moja kwa moja swali ambalo linaweza kudhaniwa kuwa una maslahi nalo sababu ya uongozi wa mtoto wako?
Kwanini asingekuuliza habari za mfumuko wa bei, maji, njaa, ukame n.k kama sio walilenga kukuweka kwenye target yao ovu tu?!!

Safi sana mzee kwa kuwatwanga bonge la ndoige! Sasa wapo mitandaoni wanahaha tu wakijitahidi kuendelea kuzusha hili na lile.
Wewe dogo wewe?[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Ameulizwa nini Na Amejibuje.....!

Funguka Ile Watu wajue Uelekeo Wa Ku komenti...! Otherwise hii Sasa Mipasho Ya Kwenye taarab..!
 
Hivyo ndivyo yanavyopaswa kujibiwa maswali ya kipashkuna,

Hivyo ndivyo anavyopaswa kujibiwa mwandishi anayesukumwa na wambea wa mitandaoni, a.k.a haters badala ya utaalamu wa taaluma yake.

Hivyo ndivyo wanavyapswa kujibiwa haters wa makamba wote waliopo humu mitandaoni ambao masikio yaliwasimama 'deeeee' kusikilizia jinsi litakavyojibiwa swali lao lililowakilishwa na mburura wao.

Matatizo yapo mengi sana kwa sasa, kulikuwa na haja gani ya kukuliza wewe moja kwa moja swali ambalo linaweza kudhaniwa kuwa una maslahi nalo sababu ya uongozi wa mtoto wako?

Kwanini asingekuuliza habari za mfumuko wa bei, maji, njaa, ukame n.k kama sio walilenga kukuweka kwenye target yao ovu tu?!!

Safi sana mzee kwa kuwatwanga bonge la ndoige! Sasa wapo mitandaoni wanahaha tu wakijitahidi kuendelea kuzusha hili na lile.
CCM kuna wazee wapumbavu sana
 
Kumshambulia mtu Ni njia ya mtu muongo na mjinga kukwepa swali
 
Sasa c angejibu hilo swali kwa ufanisi ili muda wa kuulizwa maswali mengine upatikane.
 
Mzee amejibu kijinga ndio maana muda wa kuulizwa hayo maswali unayoyaona ya maana ukakosekana.
 
Waswahili bhana....so ulitaka aulizwe maswali anayotaka yeye...kama alikua hawezi kujibu maswali relevant kwanini alikubali kuhojiwa...si angekataa kutoa interview,kwani nani angemlaumu...au alidhani atapata leeway aoshe kama kawaida yake kwa mipasho na mapambio kede kede
 
Back
Top Bottom